Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,283
- 4,735
Ila watanzania hua hatujifunzi sijui kwann barabara hio hio bodaboda, baiskeli, maguta, magari Madogo kwa malori na hatujui madereva wamevuta au kunywa kitu gani na bdo unalikuta lijitu linakimbia Huku lina ma earphones ushamba tu wanawaiga wazungu wakat huko nchi zilizoendelea watembea kwa miguu magari baiskeli hawatumii barabara moja me Naona ushamba tu