Kufanya mapenzi au kutembea (having an affair) na mke au mume wa mtu ni kosa kisheria?

Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
asante kwa maelezo kindakidanki
 
LMA CAP 29 on 1971

Imeeleza mtu anapo commit adultery lazima mahakama ijilize na ushahidi udhibitishe kuna wanandoa wengine wanaweza kukubaliana mwanamke akazini ili wapate watoto halafu mme anbadilika kwamba ni ugoni hiyo itaangariwa kisheria zaidi kam ni adultery itakuwa refund of bride price inarudishwa after issuing a decree of divorce on ground of adultery.

Hizo ni matrimonial offence hapo ni faini tu itategemea na hakimu kama ni wa kike itabidi amtetee mwanamke kwa hata milioni 50, anakugonga ili heshima iwepo kwahiyo usije ukadhani kitu cha masihala tu. We chepuka tu Ila siku wakikubamba ndo utaelewa SOMO. Hizi sheria ni evidence tu..... Kuna jamaa angu mmoja alifanya hiyo kitu alilipa million 1 bila maswali

Kitu kingine ni right to dameges after enticement hii nikitendo cha kumshawish mwn ndoa aachike zile SMS za mahaba wakati ata sio make wako wakikunasa faini utakayo kutana nayo itakuwa siri yako
 
Wataalam, nina swali nje ya mada kidogo...

Je, mwanamke akivalishwa pete ya uchumba na mwanaume...

Je, mwanaume anakuwa ana haki zozote kwa huyo mwanamke kisheria?
 
Ngoja Wajuzi wa Sheria Wadadavue na kufanya reference kwenye vifungu vya sheria - sisi tunasoma tu tupate uelewa wa sheria. Hii ni elimu ya bure - hatulipii consultation fees.
 
Kiujumla haina nguvu. Ndomaana mtu anapomfuma mkewe anachukua sheria mkononi kama kuzibua chamber, kuuwawa nk. Vases zakina Dr. Slaa ni chache sana

Ha ha ha ha nimecheka sana kuzibua,kuuuwawa....ha hahaa mahakama ya mtaani hiyo inaitwa.
 
Ni kosa la madai, ndio maana wengine huwa wanaamua kabisa kumalizana na wagoni kuliko kumdai hela mtu aliyekulia mkeo, ni fedheha fulani. Ingekuwa kosa la jinai mtu anaenda jela, jamaa wangekomaa na wagoni wao wakafungwe walau waondoke uraiani roho isuuzike
 
Wataalam, nina swali nje ya mada kidogo...

Je, mwanamke akivalishwa pete ya uchumba na mwanaume...

Je, mwanaume anakuwa ana haki zozote kwa huyo mwanamke kisheria?
Hapo hata bila sheria. .. Hakuna uhalali wowote! Yaan karing tu unamvisha mtu Leo na kuwa Mali yako kweli? Hauko makini mkuu!!
 
Ujinga mtupu. Nikikufuma na mke wangu walaa sikufanyi jambo baya. Natenganisha kichwa na mwili. Weye si ndiyo unajidai unajua papuchi? Ok. Mimi fwala sana? Kwa nini usitafute wako? Umenidharau? Poa.
Hahahaaa..mkuu nani huyo anakuona wew fwala?!!!
 
Utatakiwa ufungue petition (madai) mahakamani kwa ajili ya ugoni.

Utadai malipo ya madhara (kitu kama fidia iv) dhidi ya uliyemkamata.

Ila sasa lazima uthibitishe uhalali wa ndoa yako na mwanamke huyo au mwanaume huyo kisheria. Yaani iwe ni ndoa halali kabisa na pia hamjaachana. Pia huyo mtu asiwe amedanganywa na mkeo kuwa hana mume au kinyume chake.

Pia mahakama katika kutoa maamuzi itaangalia kama mlikuwa mnaishi pamoja au laa (wanandoa)

Halafu pia isiwe ni mpango uliosukwa na wawili hao (mke na mume ili kumfumania mtu wa tatu)

Halafu mwanaume au mwanamke asiwe ameruhusu kitendo kifanyike (condone) halafu akageuka baadae na kuanza kudai malipo.(NO person shall benefit from his own wrong)

Lazima uwe umefumania wakifanya. Actually performing. Yaani infragrante delicto.

(Kitendo tu cha kuwaona wanakiss au wamekaa pamoja kwenye sofa au wamo chumbani au wanakumbatiana haitoshi kuthibitisha ugoni kisheria (hii inategemea pia na utamaduni wa jamii husika). Etc.

NB: LAZIMA UHALALI WA NDOA KISHERIA UTHIBITISHWE KWANZA(NA HAPA NDIO MUHIMU), KAMA KWELI MMEOANA NA HUYO UNAYEDAI NI MKEO AU MUMEO UMEMFUMANIA NA MTU MWINGINE, NDO HAYO MENGINE YANAFUATA.

PIA HAUWEZI KUDAI MALIPO YALEYALE KUPITIA UGONI AMBAYO PIA UNAYADAI AU UMEYADAI KUPITIA TALAKA KAMA KWA MFANO UNATAKA KUTALAKIANA NA MPEZI WAKO.

Hivyo basi utadai tu gharama kwenye ugoni zile ambazo haujazidai kwenye talaka.

Nimechoka

Nawasilisha.
Hayo ma-procedure marefu hivyo kwakweli mi siwezi kuyavumilia, sihitaji kumdhibitishia yeyote yule kwamba nimewafumania, i shoot you on the spot!
 
Back
Top Bottom