Kufanya field ya education wilaya ya Chemba

Cunch

Senior Member
Apr 19, 2014
162
142
Wilya ya chemba-Dodoma ina uhaba wa walimu wa shule za msingi na sekondari.kumekuwa na vyuo vingi vya elimu mkoani hapa na kwingineko lakini hakuna mwamko kwa wanavyuo kufanya field ndani ya wilaya ya Chemba.

Hivyo nikiwa kama mdau wa Elimu natoa wito kwa vyuo mbalimbali kuleta wanavyuo maeneo haya hasa hasa kwenye shule zenye uhitaji kama vile Farkwa Sekondari,Mondo Sekondari, Msakwalo Sekondari, Chemba Sekondari n.k.

Na kama kuna mdau yeyote mwenye link na chuo chochote cha elimu aniunganishe ili tutengeneze mazingira mazuri kwa field.

Natanguliza shukran za dhati kwa watakao fanikisha hili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wilya ya chemba-Dodoma ina uhaba wa walimu wa shule za msingi na sekondari.kumekuwa na vyuo vingi vya elimu mkoani hapa na kwingineko lakini hakuna mwamko kwa wanavyuo kufanya field ndani ya wilaya ya Chemba.

Hivyo nikiwa kama mdau wa Elimu natoa wito kwa vyuo mbalimbali kuleta wanavyuo maeneo haya hasa hasa kwenye shule zenye uhitaji kama vile Farkwa Sekondari,Mondo Sekondari, Msakwalo Sekondari, Chemba Sekondari n.k.

Na kama kuna mdau yeyote mwenye link na chuo chochote cha elimu aniunganishe ili tutengeneze mazingira mazuri kwa field.

Natanguliza shukran za dhati kwa watakao fanikisha hili.



Sent using Jamii Forums mobile app
Toa taarifa kwa mkurugenz, taarifa zifike wizaran, wajue tu walimu hakuna


Sasa hao wa field watakuwepo muda wote??!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa taarifa kwa mkurugenz, taarifa zifike wizaran, wajue tu walimu hakuna


Sasa hao wa field watakuwepo muda wote??!

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala hili linafahamika ngazi zooote na hakuna kilichofanyika.kwa mfano shule ya sekondari Farkwa ni shule kubwa inafahamika sana lakini had sasa haina walimu wa English na chemistry walioajiliwa na selikali..hadi imebidi shule kama shule wachukue part timers..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom