Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Well:: Well:: Well::
Kumekuwepo na ongezeko kubwa sana la wana-JF kufahamiana "kiuhalisia" kadri siku zinavyokwenda...
Kiuhalisia namaanisha - kwa majina halisi na kupeana namba za simu na hata kufika mahali pa makazi yao...
Ni jambo jema kama lina nia njema ... Sitaki kulinganisha JF na Facebook lakini zidhani kama inafaa ziwiane par se! ...
Sina tatizo la watu kuwa na mahusiano ya kijamii, lakini, ninaposoma "posts" za "new members" inanipa wasiwasi kuwa kuna uwezekanao wa kuwepo "negative consequences" pale "members" wanapofahamiana "kiuhalisia" halafu wakatofautiana in one way or another!
Heri ya Mwaka Mpya kwa wote wenye "mapenzi mema"
Kumekuwepo na ongezeko kubwa sana la wana-JF kufahamiana "kiuhalisia" kadri siku zinavyokwenda...
Kiuhalisia namaanisha - kwa majina halisi na kupeana namba za simu na hata kufika mahali pa makazi yao...
Ni jambo jema kama lina nia njema ... Sitaki kulinganisha JF na Facebook lakini zidhani kama inafaa ziwiane par se! ...
Sina tatizo la watu kuwa na mahusiano ya kijamii, lakini, ninaposoma "posts" za "new members" inanipa wasiwasi kuwa kuna uwezekanao wa kuwepo "negative consequences" pale "members" wanapofahamiana "kiuhalisia" halafu wakatofautiana in one way or another!
Heri ya Mwaka Mpya kwa wote wenye "mapenzi mema"