Fidelisfcm
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 293
- 101
Siasa safi ni ipi?Wema Sepetu ameenda cdm kama matokeo ya siasa chafu. Wapinzani wanahitaji kuzunguka nchi nzima kupata wanachama kihalali kwa siasa safi na sio kusubiri kupata wanachama wahanga wa siasa chafu. Hao madiwani wamehamia ccm nao pia ndio hao ninaokuambia ni siasa chafu. Simply sasa hivi siasa chafu zinafanyika kimachomacho ndani ya kisingizio cha maendeleo na uzalendo uchwara.
Tuwe wakweli,hili la kupotea kwa Ben Kubenea anajua jinsi mwenyekiti Mbowe anamaslahi nalo.Nimeshtuka kasikia kuna madiwani wamehongwa kujiuzuru.haya yalisemwa toka May na katibu,kuna hatua alichukua?kibaya ni usalama wa ben, hakuna kitu kinaniuma mitandaoni kama kusoma stori za kupotea kwa ben
Mkuu huyu mleta mada ni kiongozi ndani ya Chadema.Msimlaumu Mashinji yawezekana wanashughulikia hilo tatizo lakini hawawezi kutoa taarifa hadi kila kitu kikamilike, tuwe na subira, mambo mazuri hayataki haraka.
Ni Makene huyu au ni nani?Mkuu huyu mleta mada ni kiongozi ndani ya Chadema.
Haihitajiki elimu ya chuo kikuu kujua kama wale madiwani wamenunuliwa, mburula wee.Kama mnakumbuka CHADEMA ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.
Mifano ipo mingi, intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk
Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa, CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane, hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.
CHADEMA ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi, Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru.Hovyo kabisa.
Lazima tukubaliane Dr. Mashinji kazubaa sana.
Mkuu kumbuka Wema ana'followers' wengi kwenye instagram...
Unaweza kumfukuza baba yako nyumbani kwake wakati anakufuga? CHADEMA mali ya Mbowe na mkwewe ataondolewa vipi? na nani atamuondoa? Lowassa aliuziwa haki ya umiliki wa chama kwa hati ya dharura,kama vipi arudishiwe pesa yake ndo wamuondoe. Sumaye ni kama joka la kibisa hana madhara yoyote hata akikaa chadema miaka 100 ijayo ni debe tupu..!!!Toa mashinji,weka Lema,toa Mbowe weka Lissu!
Toa Lowasa,toa Sumaye tena flash kabisa toka chamani!
Halafu ingiza viongozi vijana chamani!
Hasahasa Lowasa,kwani anakizeesha chama kiitikadi na kimwenekano!
Unaweza kumfukuza baba yako nyumbani kwake wakati anakufuga? CHADEMA mali ya Mbowe na mkwewe ataondolewa vipi? na nani atamuondoa? Lowassa aliuziwa haki ya umiliki wa chama kwa hati ya dharura,kama vipi arudishiwe pesa yake ndo wamuondoe. Sumaye ni kama joka la kibisa hana madhara yoyote hata akikaa chadema miaka 100 ijayo ni debe tupu..!!!Toa mashinji,weka Lema,toa Mbowe weka Lissu!
Toa Lowasa,toa Sumaye tena flash kabisa toka chamani!
Halafu ingiza viongozi vijana chamani!
Hasahasa Lowasa,kwani anakizeesha chama kiitikadi na kimwenekano!
Mmhh kwani kapotea. Mbona Kubenea alisemaga bwana Mbo.w.e anajua alipo au nimesahau wajameni. Naomba kukumbushwa
Uthibitisho nenda kwa sizonje akanusheWewe unaejua weka uthibitisho hapa tuone
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Wewe uliesema ndo tunataka uweke uthibitishoUthibitisho nenda kwa sizonje akanushe
sikubaliani na wewe intelligensia ya CHADEMA iko makini ndio maana imemnasa Mbowe akijivinjari na Wema SepetuKama mnakumbuka CHADEMA ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.
Mifano ipo mingi, intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk
Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa, CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane, hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.
CHADEMA ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi, Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru.Hovyo kabisa.
Lazima tukubaliane Dr. Mashinji kazubaa sana.
Ndio mimi ndiyeOkwi Boban Sunzu, je ni wewe ama !!!!????