OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,148
- 103,549
- Thread starter
- #141
Hudumia mumeo acha kuzurura huku asubuhiasuhisikubaliani na wewe intelligensia ya CHADEMA iko makini ndio maana imemnasa Mbowe akijivinjari na Wema Sepetu
Hudumia mumeo acha kuzurura huku asubuhiasuhisikubaliani na wewe intelligensia ya CHADEMA iko makini ndio maana imemnasa Mbowe akijivinjari na Wema Sepetu
Chadema haikuwa na intelijensia wala ushuzi.Alichokuwa akifanya slaa ni kupata tip tu,na hao waliokuwa wakimpa tip wote wamepelekwa mbele ya haki,kwa sasa chadema hawajui pa kuanzia na utawala huu wa Magufuli umepiga pini sehemu zote nyeti ukigundulika tu umetoa siri huna kazi siku hiyo hiyoKama mnakumbuka CHADEMA ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.
Mifano ipo mingi, intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk
Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa, CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane, hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.
CHADEMA ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi, Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru.Hovyo kabisa.
Lazima tukubaliane Dr. Mashinji kazubaa sana.
KAFIE LUMUMBAWewe uliesema ndo tunataka uweke uthibitisho
Angalieni nyinyi watu sio kwa kua mpo nyuma ya keyboard basi mnajiandikia tu mtakacho
Haya............
Ndio mimi ndiye
Huo ndio ukweli unaouma mkuu.Kwa hiyo Dr Slaa alikua hazina kwa chama au sio ?
Makamanda tunaelewana,tunaongea lugha moja hata kama ni kinzaniUmejiandaaje kuitwa UMENUNULIWA, MSALITI na majina mengine kama hayo???
Nakubaliga point zako kama hii ya leo, pale palipo na ukweli unasema, cyo wengine wanaokuwa wafa chama wanaogopa ukweliNakuunga mkono hoja yako mkuu umeandika point Chadema waliwahi kubaini madiwani wake wanne ambayo walipewa milioni 70 kwa ajili kuzijiulu udiwani wakafukuzwa kwenye chama .Hili la Arumeru ushahidi upo lakini chama wapo kimya wameshindwa hata kuchukua mapema kuna nini?
Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa,CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane,hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.
Makamanda tunaelewana,tunaongea lugha moja hata kama ni kinzani