Fidelisfcm
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 293
- 101
Siasa safi ni ipi?Wema Sepetu ameenda cdm kama matokeo ya siasa chafu. Wapinzani wanahitaji kuzunguka nchi nzima kupata wanachama kihalali kwa siasa safi na sio kusubiri kupata wanachama wahanga wa siasa chafu. Hao madiwani wamehamia ccm nao pia ndio hao ninaokuambia ni siasa chafu. Simply sasa hivi siasa chafu zinafanyika kimachomacho ndani ya kisingizio cha maendeleo na uzalendo uchwara.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app