Kufa kwa intelijensia ya CHADEMA

L
Toa mashinji,weka Lema,toa Mbowe weka Lissu!
Toa Lowasa,toa Sumaye tena flash kabisa toka chamani!
Halafu ingiza viongozi vijana chamani!
Hasahasa Lowasa,kwani anakizeesha chama kiitikadi na kimwenekano!
lowasa anakuumiza kuliko mtu yoyote EE hhahaha
 
Naunga mkono hoja,Chadema kimekuwa chama chakuchezewa na madiwani..mbaya zaidi viongozi wakuu wapo kimya..nahisi kunakitu kikubwa kinaendelea ndani ya chama na viongozi wakuu hawataki kukisema..Mashinji amevalishwa kiatu kisicho saizi yake.
 
Kama mnakumbuka Chadema ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.

Mifano ipo mingi,intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk

Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa,CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane,hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.

Chadema ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi,Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru....Hovyo kabisa.

Lazima tukubaliane Dr.Mashinji kazubaa sana.
Hivi kwa nini hamtaki kuona mapungufu ya Mbowe... ...?
Kwa nini hamtaki kuamini kuwa Mbowe ndio tatizo.?
 
Naunga mkono hoja,Chadema kimekuwa chama chakuchezewa na madiwani..mbaya zaidi viongozi wakuu wapo kimya..nahisi kunakitu kikubwa kinaendelea ndani ya chama na viongozi wakuu hawataki kukisema..Mashinji amevalishwa kiatu kisicho saizi yake.
Eti madiwani leo hii wanaiumiza kichwa chadema!!khaaaa,Chadema ilikuwa ya kuumizwa kichwa na usalama na polisi tu
 
Msimlaumu Mashinji yawezekana wanashughulikia hilo tatizo lakini hawawezi kutoa taarifa hadi kila kitu kikamilike, tuwe na subira, mambo mazuri hayataki haraka.
 
Ww unaniambia mambo ya tetesi wakati mm nakuambia jambo la dhahiri. Magu ana mazuri yake lakini anaendesha nchi kama ya watoto.
Wakizunguka nchi italeta manufaa gani kwenye maendeleo kwa mfano.yaani wazunguke miaka yote minane kuwa mtu ni mfusadi then waseme hakuwa mfisadi.kama ndo wako hivi si wasubirie tu uchaguzi.huko arumeru madiwani wanaachia ngazi wao hawalioni. Hata ukisoma kwenye gazeti ni kuambiwa tu na siyo facts.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja,Chadema kimekuwa chama chakuchezewa na madiwani..mbaya zaidi viongozi wakuu wapo kimya..nahisi kunakitu kikubwa kinaendelea ndani ya chama na viongozi wakuu hawataki kukisema..Mashinji amevalishwa kiatu kisicho saizi yake.
Mbona wengi madiwani. Hivi hata wenyeviti wa mitaa/vijiji au vitongoji wanaachia ngazi?

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Wakizunguka nchi italeta manufaa gani kwenye maendeleo kwa mfano.yaani wazunguke miaka yote minane kuwa mtu ni mfusadi then waseme hakuwa mfisadi.kama ndo wako hivi si wasubirie tu uchaguzi.huko arumeru madiwani wanaachia ngazi wao hawalioni. Hata ukisoma kwenye gazeti ni kuambiwa tu na siyo facts.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

Naona unachanganya maendeleo na siasa. Ukifanya siasa huwezi kuleta maendeleo? Usiwe kasuku ukisikia neno hapa jukwaani unalibeba kama lilivyo. Mbona rais na viongozi wengine wanazunguka nchi nzima wanafanya maendeleo saa ngapi? Ni mwanasiasa gani umewahi kumuona anashinda kwenye majukwaa ya siasa 24/7 or 365@ year? Kwa hiyo kwa maneno mengine nchi yetu inaitwa masikini mpaka leo toka tupate uhuru, hali hiyo ilisababishwa na viongozi wote kufanya siasa? Anayezua wenzake kufanya siasa yeye anafanya siasa za wazi na anapozuia wengine kuzifanya kwa mujibu wa sheria anatumia sheria gani?
 
Naona unachanganya maendeleo na siasa. Ukifanya siasa huwezi kuleta maendeleo? Usiwe kasuku ukisikia neno hapa jukwaani unalibeba kama lilivyo. Mbona rais na viongozi wengine wanazunguka nchi nzima wanafanya maendeleo saa ngapi? Ni mwanasiasa gani umewahi kumuona anashinda kwenye majukwaa ya siasa 24/7 or 365@ year? Kwa hiyo kwa maneno mengine nchi yetu inaitwa masikini mpaka leo toka tupate uhuru, hali hiyo ilisababishwa na viongozi wote kufanya siasa? Anayezua wenzake kufanya siasa yeye anafanya siasa za wazi na anapozuia wengine kuzifanya kwa mujibu wa sheria anatumia sheria gani?
CCM ndo wanatakiwa kufanya monitoring na evaluation na vyama vya upinzani vifanye evaluation tu.Rais yupo kutekeleza alichokabidhiwa na wananchi.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
CCM ndo wanatakiwa kufanya monitoring na evaluation na vyama vya upinzani vifanye evaluation tu.Rais yupo kutekeleza alichokabidhiwa na wananchi.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

Vyama vingine vitapata wapi wanachama wapya hasa sehemu ambazo hawana uwakilishi? Rais kila siku tunamuona anapokea wanachama wapya wa ccm tena toka vyama pinzani ndio hiyo monitoring? Je wengine wakifanya siasa wanamzuia rais monitoring. Alipata kura 100% mpaka azuie wengine kuendelea na imani zao?
 
Kama mnakumbuka Chadema ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.

Mifano ipo mingi,intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk

Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa,CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane,hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.

Chadema ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi,Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru....Hovyo kabisa.

Lazima tukubaliane Dr.Mashinji kazubaa sana.

Laana ya Dr. Slaa na uchafu wa Lowassa havijawahi kuiacha chadema salama. Poleni makamanda.
 
Vyama vingine vitapata wapi wanachama wapya hasa sehemu ambazo hawana uwakilishi? Rais kila siku tunamuona anapokea wanachama wapya wa ccm tena toka vyama pinzani ndio hiyo monitoring? Je wengine wakifanya siasa wanamzuia rais monitoring. Alipata kura 100% mpaka azuie wengine kuendelea na imani zao?
Kwani wema sepetu alipatikana kwa kufanya mikutano mbona wanapokea tu siyo lazima kuzunguka. Mtu yeyote akiona wanamwlekeo mzuri watajiunga. Mbona madiwani wa chadema wanaondoka na kumuunga mkono rais wakati huo raisi yupo kwingine.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako tunakupa muda mfupi lazima Lowassa arudi ccm. Huu moto sio mchezo jomba na hutaamini. Huyo aliyempokea na yeye watatokea mlango wa nyuma. Na hatuishii hapo ni joto la kuhoji mustakabali wa maisha yetu. Hadithi sijui nawapigania wanyonge huku wao maisha yao yako juu na sisi tunakula mara moja kwa siku utaona moto wake.
Ngoja nikae macho kodo nione hiko mnachotaka kufanya ......

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Una maana hujui kuwa sizonje anahusika na kupotea Ben? Au unachokonoa nnya utoe jivi?

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Wewe unaejua weka uthibitisho hapa tuone

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Kwani wema sepetu alipatikana kwa kufanya mikutano mbona wanapokea tu siyo lazima kuzunguka. Mtu yeyote akiona wanamwlekeo mzuri watajiunga. Mbona madiwani wa chadema wanaondoka na kumuunga mkono rais wakati huo raisi yupo kwingine.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

Wema Sepetu ameenda cdm kama matokeo ya siasa chafu. Wapinzani wanahitaji kuzunguka nchi nzima kupata wanachama kihalali kwa siasa safi na sio kusubiri kupata wanachama wahanga wa siasa chafu. Hao madiwani wamehamia ccm nao pia ndio hao ninaokuambia ni siasa chafu. Simply sasa hivi siasa chafu zinafanyika kimachomacho ndani ya kisingizio cha maendeleo na uzalendo uchwara.
 
Kama mnakumbuka Chadema ilikuwa ni chama kinara wa kudaka taarifa za kiintelijensia zikiwemo za kuhujumu chama na ufisadi.

Mifano ipo mingi,intelijensia ilimnyaka Zitto akisaidiana na CCM kukiua chama. Kina Shonza na wenzie walinaswa kabla hawajaleta madhara nk

Lakini leo hii hali ni tofauti kabisa,CHADEMA kimekuwa chama kisichojua chochote kuhusu usalama wa watumishi wake,hakijua alipo Ben Saanane,hata kujua tu ni kina nani wamefanya haya.

Chadema ilikuwa chama cha kuwahi kabla hakijawahiwa. Zitto tulimuwahi,Shonza na wenzake walizimwa kabla na mapema. Lakini leo hii hata madiwani washamba kabisa wanashindwa kujjlikana mapema hujuma zao na kufukuzwa kabla ya kujiuzuru....Hovyo kabisa.

Lazima tukubaliane Dr.Mashinji kazubaa sana.
Si mlimuona Dr.Slaa hafai,mkachukua bilioni 10?
 
Wema Sepetu ameenda cdm kama matokeo ya siasa chafu. Wapinzani wanahitaji kuzunguka nchi nzima kupata wanachama kihalali kwa siasa safi na sio kusubiri kupata wanachama wahanga wa siasa chafu. Hao madiwani wamehamia ccm nao pia ndio hao ninaokuambia ni siasa chafu. Simply sasa hivi siasa chafu zinafanyika kimachomacho ndani ya kisingizio cha maendeleo na uzalendo uchwara.
Mkuu kumbuka Wema ana'followers' wengi kwenye instagram...
 
Back
Top Bottom