Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

Mkuu mm nimekuelewa unao wengi ila watu wanakupinga kisa unao wengi huwezi ukamsema mchafu.. Huo ndo ukweli wanawake wengi wanapenda ofa za namna hiyo hata wanao kataa hapa wangeweza kuzuga kwa muda lakini asingeweza kumisi hiyo ofa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Asilimia kubwa ya galz mwanzoni wana mapenzi ya kweli na waaminifu! Chanzo cha matatizo ni sisi wenyewe wanaume kushindwa kuhimili vishawishi kutoka kwa manung'aembe yanayomuonea wivu uliyenae. Ukishachepuka tu habari zinafika kwa wife wako na matatizo yanaanzia hapohapo coz wenzetu reaction zao siku zote ni za kubomoa kabisa instead of kuziba ufa! Heshima itapotea no matter wapi ulikomtoa!! Na wife wako akishakudharau automatically ndoa inaisha!!!
 
100% 100% tena mi kuna mmoja hatukuwahi kuonana kabisa namba yake niliipata kiaina aina baada ya yeye kuja ofcn kwetu na akaangukia kwangu ndio nahusika na shida yake kumhudumia, nikapitia kwa mlinzi nikaangalia orodha wageni wa siku hiyo nkachukua namba yake jioni nkamwita sehemu akaja na rafiki yake mwingine wa kike ikabidi hata mm nimwite jamaa yangu tuko ofc moja nae alipofika nikamwambia a deal na yule mwenzake mambo yalienda sawa sawa na usiku huo huo wote tuliwatafuna. dah weka mbali na ofa hawa jamaa.
 
:yawn: haahah kwa hyo ukajiona hapo umepiiima kweli uaminifu wa huyo mmoja wa wapenzi wako, coz hujiamin thats why huwaamini... n by the way ulitaka asije kwani umemuoa....kumbe umewapanga, afu unakuja kuwasema hapa "nye nye nyenye nye wanawake mtatuuwa" tena koma siku nyingine.:angry:
 
100% 100% tena mi kuna mmoja hatukuwahi kuonana kabisa namba yake niliipata kiaina aina baada ya yeye kuja ofcn kwetu na akaangukia kwangu ndio nahusika na shida yake kumhudumia, nikapitia kwa mlinzi nikaangalia orodha wageni wa siku hiyo nkachukua namba yake jioni nkamwita sehemu akaja na rafiki yake mwingine wa kike ikabidi hata mm nimwite jamaa yangu tuko ofc moja nae alipofika nikamwambia a deal na yule mwenzake mambo yalienda sawa sawa na usiku huo huo wote tuliwatafuna. dah weka mbali na ofa hawa jamaa.
yaani siku hizi ukiwa na namba ya demu na laki isiyo nakazi hata angekuwa mgumu vipi ataliwa tu
 
Juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch.

Akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje, wanawake mtatuua utaendaje kula Lunch na stranger ndiomaana mnauliwa.
Hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom