Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,323
Reaction score
56,062
Juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch.

Akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje, wanawake mtatuua utaendaje kula Lunch na stranger ndiomaana mnauliwa.
 
hahaha umekosea kidogo ungemtafuta stranger ukachonganisha mchezo halafu unakuja kujitokeza mwishoni... uone kifuatacho ITV
 
hahahahah..... We mwenyew stranger, how come unaanza kum-test galfriend wako kwa ujinga huo???
 
Teh teh teh kwa hiyo umepanic au sio?
 
huyo sio mwaminifu kama ulivyo wewe tu ndege mfananao mnaruka together
tatizo sio uaminifu bali kuendekeza ofa na staranger angechepuka na mtu anayemjua wala sio dili
 
hahaha umekosea kidogo ungemtafuta stranger ukachonganisha mchezo halafu unakuja kujitokeza mwishoni... uone kifuatacho ITV
stranger muhuni angeondoka nae maana ni mrembo
 
juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje,wanawake mtatuua utaendaje kula lunch na stranger ndiomaana mnauliwa

ndio ameshafeli tena mtihani wa uaminifu
mdukuzi wewe mwenyewe sio mwaminifu,

hukumu unayompa huyo mmoja wa wapenzi wako nawe unaistahili
 
Last edited by a moderator:
ndio ameshafeli tena mtihani wa uaminifu
Mkuu kaa ujue hakuna cha mwanamke mdogo au mgeni kwenye Ofa
Njaa ndio inatumaliza
hata katoto ka Primary kangekulia vipsi vya vyako vyoda vyako na kwenye 6 x 6 USINGEKAUA
 
juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje,wanawake mtatuua utaendaje kula lunch na stranger ndiomaana mnauliwa
Kama yeye ni mmoja wa wapenzi wako unategea nawe uwe nani????? Hapo alikua kwenye mawindo ya kuongeza chain yenu.... Hope wakati ujao utahusisha akili za mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom