Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje,wanawake mtatuua utaendaje kula lunch na stranger ndiomaana mnauliwa

Mkuu una wapenzi wangapi?"Take care AIDS is around the corner" imeletwa kwa hisani ya watu wa marekani
 
Kuna mabadiliko ya tabia nchi!
Kuna mabadiliko ya tabia mwana damu!
 
Yaan huyo duu wako ni mstaarabu kweli, mm kosa ni langu lakin ningekuchenjia vile vile, do you think you are perfect more than her? some times tuwe tunajijudge sisi wenyewe kwanza ukiona uko perfect ndo ufanye hivyo!
 
Hahaha...biblia imesema epuka majaribu..we unampa mwenzio majaribu.shida nyie ni wabahili sana ndo mana wepesi ukija bhaaasss kwa raha mustarehe mtu anapotea.asiependa kutunza nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom