KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,591
- 4,604
My Take:
Tusidanganywe na yanayoendelea mitandaoni juu ya Rais Magufuli, huko mitaani na vijijni Rais Magufuli Magufuli ndio chaguo la vyama vyote, watu hawafichi hisia zao za kweli mitaani.
Hawawezi kukujibuSasa kwanini mnahaha hadi mnavamimia vikao vya ndani vya Zitto ?
Hahaha something is seriously wrong somewhere....wanatapatapaMbona wewe umeyaleta huku mtandaoni.?
Watu hawafichi hisia zao, wanajua kuna kupotezwa ukionekana kinyume.... mnawaona wajinga sana!
Nikiwa katika mitaa Fulani karibu na ofisi ya chama Fulani cha Upinzani(jina kapuni) kulizuka mabishano makubwa yaliyoambatana na swali " Je, upizani utafurukuta uchaguzi huu kama ilivyokuwa 2015?" Kwa hakika wachangiaji walinifurahisha majibu yao lakini mchangiaji mmoja aliyejinasibu kama mpinzani kindakindaki wa agano na viapo ndio aliyenifurahisha Zaidi alivyosema, namnukuu ' mimi ni mpinzani kabisa lakini sitakaa kuwa adui wa mabadiliko makubwa yanayoletwa na Rais Magufuli nchini, hivyo nitampigia kura yangu'.
Alivyokwisha kusema hayo wanachama wenzake wakamshangilia na kumwambia hakika umechelewa kujua hilo lakini bado hujachelewa kufanya uamuzi sahihi kwa nchi na mjadala ukamalizika kwa kila mtu kusema TUKUTANE OCTOBA, KULA UPINZANI LAKINI KURA KWA MAGUFULI.
My Take:
Tusidanganywe na yanayoendelea mitandaoni juu ya Rais Magufuli, huko mitaani na vijijni Rais Magufuli Magufuli ndio chaguo la vyama vyote, watu hawafichi hisia zao za kweli mitaani.
Hao Ni wale wanao ungwa bando la mwezi kwa ajili ya hiyo kazi Yuko member mmoja humu ndio kiongozi wao,wafanye nini Sasa na bando wanalitakaNakuhakikishia mkuu!! Hata hawa vijana wa Mbowe wanaokuja hapa kuandika kumhusu Magufuli sjiui hatashinda, sjui uchaguzi utakuwa mgumu kwake n.k
Wanaandika hivi huku Nia ya ndani na mioyo Yao ikiwasuta!
Nasema hivi!! Kwa kuwa Tu wanasiasa huwa hawajiamini, lakini Magufuli hashindiki hata asipopiga Kampeni kabisa!!!
Mi si mwanachama wa chama chochote kile lakini napenda fair life kitu ambacho kimekuwa bidhaa adimu sasa. Kuhusu uchaguzi naweza sema kuwa kwa miaka yote hii mitano wapinzani hawajapewa jukwaa sawa na ccm hivyo ccm kukosa tathmini iliyosahihi kuhusu kukubalika kwake.Nikiwa katika mitaa Fulani karibu na ofisi ya chama Fulani cha Upinzani(jina kapuni) kulizuka mabishano makubwa yaliyoambatana na swali " Je, upizani utafurukuta uchaguzi huu kama ilivyokuwa 2015?" Kwa hakika wachangiaji walinifurahisha majibu yao lakini mchangiaji mmoja aliyejinasibu kama mpinzani kindakindaki wa agano na viapo ndio aliyenifurahisha Zaidi alivyosema, namnukuu ' mimi ni mpinzani kabisa lakini sitakaa kuwa adui wa mabadiliko makubwa yanayoletwa na Rais Magufuli nchini, hivyo nitampigia kura yangu'.
Alivyokwisha kusema hayo wanachama wenzake wakamshangilia na kumwambia hakika umechelewa kujua hilo lakini bado hujachelewa kufanya uamuzi sahihi kwa nchi na mjadala ukamalizika kwa kila mtu kusema TUKUTANE OCTOBA, KULA UPINZANI LAKINI KURA KWA MAGUFULI.
My Take:
Tusidanganywe na yanayoendelea mitandaoni juu ya Rais Magufuli, huko mitaani na vijijni Rais Magufuli Magufuli ndio chaguo la vyama vyote, watu hawafichi hisia zao za kweli mitaani.
CDM inawatisha ccm sana, kweli viongozi wa CDM ni makomando.What comes around, goes around.
Akili na nguvu zote sasa zimetekwa na kampeni za uchaguzi ijapokuwa hata kipyenga bado hakijapulizwa. Hakuna hata mmoja anayekumbuka tena ama kujali kuchukua tahadhari yoyote ile juu ya uwezekano wa uwepo wa kagonjwa ka "Corona" yenyewe, ama baba yake, shangazi yake ama mjomba wake korona.
Dunia inajali bali sisi tunaonyesha hatujali. Hakuna tena haja ya kutoa takwimu za maambukizi mapya, hakuna msisitizo wa matumizi ya vitakasa mikono, kunawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka, hutusisitizi tena matumizi ya barakoa pale watu wawapo kwenye mikusanyiko, hatuzingatii tena "social distancing" na hata kuepuka kupeana mikono na kukumbatiana.
Tumeishinda Corona na tunaingia kwenye kampeni za uchaguzi pasipo kujali chochote kile juu ya uwepo wake. Tumejiridhisha ya kuwa hizo zote zilikuwa ni propaganda za mabeberu na vibaraka wake hapa nchini wakiongozwa na CDM, Zitto na wengine wachache wasioitakia mema nchi yetu. Lakini je ni kweli tumeshinda?