Simba kumbukeni Okwi,Juko, Mkude, Nyoni hawapo sasa huo ushindi bila hawa watu msahau aiseee......Okwi bado anamgomo anataka pesaaa zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkana weusi kama makalio yangu babu, jua kwao sio tatizo. Asije akazimia KagereMwana Mtoka Pabaya Kuhusu alama 7 ni kutokana kupata sare kwahivyo nimezungumzia kuhusu ushindi tu..!
Yote kwa yote hii gemu tunashinda, waarabu tuliwaanika juani na Nkana FC nao..!
Mwambieni Moo ampe teenager Okwi mpunga wake tushinde mechi.Kucheza kwa Okwi lazima daktari athibitishe kuwa yuko sawa na Kocha aamue kumpanga..
Kwahivyo tusubiri siku bado tatu za utimamu wa mwili
Hivi Mashujaa ilikuwa michuano ya Kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika?
Embu kuweni na akili kidogo na someni kilichoandikwa vizuri na mtoe hoja zenye mantiki.
Huna hata goal Moja la ugenini?hii ni aibu sanaMwaka Jana Mulilitoa Taifa Kimasomaso kwa Kubeba Kombe si ndiyo?
Punguza bangi, Kenya inawakilishwa na Harambee stars Afcon na Uganda inawakilishwa na The cranes Afcon, Simba inawakilisha wana msimbazi, Simba siyo Taifa stars, timu ya Taifa imeshatangazwa na ina wachezaji watatu tu wa Simba
Mtanzania hawezi kuwakilishwa na Okwi, Kagere na Chama huu utakuwa ni utaahira, labda tu useme Simba inatekeleza ilani ya serikali ya awamu ya tano
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo simba haiwakilishi tanzania kwasababu yuko okwi na kagere sio?
Basi tanzania haiwakilishi waafrika kwasababu kuna wazungu na wachina wapo wanaishi ndani yake
Sent using unknown device
Tiketi zapatikana wapi mkuu?Hatufanani na wao..Tuko tofauti na wao...Jipatie tiketi yako mapema ya kawaida au Platinum..NguvuMojaView attachment 1044544