Mama yako mwenyewe anadaiwa sembuse Yanga! +255 asanteni kutukumbusha cod ya nchi yetuWewe ile bangi ya Wakenya bado inakutafuna.. Unadaiwa milioni 6 na bakuli lile sijui itakuwaje
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu ! Rage hakukosea unaulizwa kingine unajibu kingine. Hela za mwanaume mwenzenu zitawatatua marinda!Hivi Mashujaa ilikuwa michuano ya Kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika?
Embu kuweni na akili kidogo na someni kilichoandikwa vizuri na mtoe hoja zenye mantiki.
Sisi tuna imani iliyo thabiti tumemuombea adui yetu njaa na kweli imempata. Kama nyie mnaimani basi pangueni hiyo laana ya njaa na kuomba omba ambayo tumewapeni sisiImani nyingine hizi ni kumjaribu Mungu na matumizi mabovu ya akili.
Kama Simba huwa haifungwi uwanja wa Taifa basi wangekuwa ndio mabingwa wa Sport pesa mwaka huu, msidhani Watanzania ni wajinga au wamesahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu ! Rage hakukosea unaulizwa kingine unajibu kingine. Hela za mwanaume mwenzenu zitawatatua marinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza bangi, Kenya inawakilishwa na Harambee stars Afcon na Uganda inawakilishwa na The cranes Afcon, Simba inawakilisha wana msimbazi, Simba siyo Taifa stars, timu ya Taifa imeshatangazwa na ina wachezaji watatu tu wa SimbaHivi kuna aliyeta Kombe la Maandazi kwenye Uzi huu hapa?
Yaani Klabu Bingwa Afrika tunajadili ambapo kutinga tu makundi timu inapata bilioni 1 na Simba ndo wawakilishi pekee Afrika Mashariki halafu unatuletea michuano ya Ukanda mmoja hiyo akili ama..!
Punguza bangi, Kenya inawakilishwa na Harambee stars Afcon na Uganda inawakilishwa na The cranes Afcon, Simba inawakilisha wana msimbazi, Simba siyo Taifa stars, timu ya Taifa imeshatangazwa na ina wachezaji watatu tu wa Simba
Mtanzania hawezi kuwakilishwa na Okwi, Kagere na Chama huu utakuwa ni utaahira, labda tu useme Simba inatekeleza ilani ya serikali ya awamu ya tano
Sent using Jamii Forums mobile app
As vita wanafungwa,Simba wajitume kama Juve walivyofanya jana. Hakika watapata ushindi.
As vita na Soura ndo team pekee zilizotoa sare kwao. Soura alitoa sare kwao vs Al ahly. As Vita akatoa sare kwao vs Soura. Watajiju. Simba wajitume. Hakika watashinda. Juventus jana wamejituma hasa. Na ninaamini kila team inaomba isiangukie kwa Juve kwenye robo fainali.Hayo ndo maneno, na si poroja za akina Mashujaa...Kwa maana kama hatujajituma utakuwa uzembe wetu kwani kundi D kila mmoja anashinda kwake..umetisha mkuu
Kwaiyo simba haiwakilishi tanzania kwasababu yuko okwi na kagere sio?Punguza bangi, Kenya inawakilishwa na Harambee stars Afcon na Uganda inawakilishwa na The cranes Afcon, Simba inawakilisha wana msimbazi, Simba siyo Taifa stars, timu ya Taifa imeshatangazwa na ina wachezaji watatu tu wa Simba
Mtanzania hawezi kuwakilishwa na Okwi, Kagere na Chama huu utakuwa ni utaahira, labda tu useme Simba inatekeleza ilani ya serikali ya awamu ya tano
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Mama zinahusu nini hapa..!Mama yako mwenyewe anadaiwa sembuse Yanga! +255 asanteni kutukumbusha cod ya nchi yetu
Sent using Jamii Forums mobile app