Kuelekea maadhimisho ya wanawake duniani, Naomba watu watupe elimu juu ya hili.

Frustration

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
3,095
4,059
Habari wakuu,
Hii ninkawaida pale mama anapocheuliwa na mtoto anaenyonya basi ziwa huwa lina vimba na kuambatana na maumivu makali.
Kwa kuwa leo ni siku ya wanawake duniani basi tunaomba watu tujuzane hapa.
Ile hali inatokana na nini?
 
Back
Top Bottom