Kuelekea kumbukizi ya John Magufuli

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,366
Reaction score
7,239
Tuanze kumkumbuka kwa hili la kununua ndege,

Wapo waliokebehi na kuzarau niwaulize Je kama asingenunua hizo ndege wale watanzania waliosaidiwa kurudishwa Tanzania kutoka Saudi Arabia wangepanda Fuso kurudi Tanzania?




 
Walienda na ndege gani hadi uone wangeshindwa kurudi? Au Magufuli alinunua kwa malengo ya kweda kibeba walioko vitani?
 
Wapo waliokebehi na kuzarau niwaulize Je kama asingenunua hizo ndege wale watanzania waliosaidiwa kurudishwa Tanzania kutoka Saudi Arabia wangepanda Fuso kurudi Tanzania?
Hapo nikiangalia hio picha ya chini kuna jibu hua linajia haraka haraka, hivi Simba ukimfungia chumba kimoja na Swala au Mbuzi, ukakaa masaa 24 bila kuwapa Chakula ukirudi utakuta wote wapo kwenye hali ile ile? Usiniulize nimewaza nini
 
Ongezea hapo alizuia watu wasikae ndani wakati wa pandemic covid 19,huyu jamaa alikua mtu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…