ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kuna upande mmoja wa hizi timu mbili zitakazokutana tarehe 11 aisee wamechanganyikiwa... Hawana imani na timu yao hawana hamu na hii Derby... Yaani wanajitia nguvu tu lakini kiukweli kwao ni kama picha la kutisha linaenda kuwatokea kuelekea Jumamosi...
Jamani tuwaombeeni... Hali ni mbaya.
Jamani tuwaombeeni... Hali ni mbaya.