Kamlinganishe kwanza huyo chakubanga na lowassa.
Kamlinganishe kwanza huyo chakubanga na lowassa.
Tungeanzia kwenye ndege.Lisu atayatupa wapi magongo yake? Tuanze hapo kwanza.
I don't take sides,Lisu atayatupa wapi magongo yake? Tuanze hapo kwanza.
Kwani ww ulijua Jiwe atakuja kuwa Rais tena rais wa hovyoo ajawahi tokeaLisu hawezi kuja kuwa rais. Usimvimbishe kichwa bure. Ni kupotezeana muda tu.
Misimamo yenye akili ya jiwe ndio iliyotufanya kupata Noah zetu?? Uliyowadhulumu wakulima wa koroshoo PESA zao,ku-ua Democracy Tz? Au msimamo upi wa Bwana Yule unaousemea?Lissu hana akili
Ni moja ya watu wenye misimamo bila ya kujijua ni mjinga kupitiliza
Lisu namuona kama jonas savimbi tu basi
Atakuwa maarufu bt jiwe naona akishinda tena kwa ushindi mkubwa tu maana ccm wanajua kucheza na raia
Sent using Jamii Forums mobile app