Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,599
- Thread starter
- #81
Mkuu Chimunguru, huna haja ya kuwa na wasiwasi na thinking capacty yangu, kwa kifupi iko very low ila hii ndio level ya wapiga kura wetu.kama naiona Chadema itakavyopeta 2015. Mnamweka mwizi ndo awe rais? Wewe pasco na wasiwasi na thinking capacity yako!
Hakuna kitu kizuri kama kuwa ma matumaini na matarajio makubwa kuwa 2015 ni Chadema, itatinga ikulu ya magogoni, nilichotoa hapa ni angalizo kuwa kuwa iwapo CCM itamsimamisha EL uchaguzi wa 2015, nyie Chadema na wote wenye matarajio kama yako, Ikulu mtaishia kuisikia kwenye bomba!.
Kwa vile wengi humu mmehamanika na great expectations za ikulu, ikitokea mkaokosa, mtaishia kukata tamaa na hivyo kuwa tayari kwa lolote, hivyo angalizo hili ni kuwaandaa watu kama nyinyi kwa kama ni EL, 2015 ni CCM tena!.