Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,600
Pasco wewe ni mchambuzi mzuri
Na pia ni moja ya watu wametukanwa sana kwa kusema wazi kwamba anampenda Lowassa.
Chadema walimshambulia sana sana aliposema Edward Lowassa agombee kupitia UKAWA!
Leo hii wamejificha na Pasco anageuka kuwa Hero
Last edited by a moderator: