Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Kuelekea 2015, Dr. SLAA kuandika historia.

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,890
Reaction score
17,744
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja
 
ngoja Lumumba ije.wakiona tu hilo jina lazima washikwe na tumbo la kuhara .
CHADEMA YATOSHA!!!
 
Utapinga nini hapo mrisho? ukweli haupingwi ila kwa TZ ngoja usikie taralira
 
Kila shule ina mwanafunzi wa kwanza na wa mwisho!
 
Yaani Dr Slaa yupo ki modern zaidi, kwa wale wataalam wa Electrical and control engineering tunasema yupo ki digital control zaidi
 
Kila ninaposikia Dr Slaa anaongea napata faraja sana.Natamani kuendelea kumsikiliza.Ni mzalendo.Genukne.Anachukia ufisadi kwa vitendo.Aoonafiki.Mungu amlinde mtetezi huyu qa qanyong wa
 
Aandike historia mara ngapi?

"Nchi ngumu hii"
 
Kila ninaposikia Dr Slaa anaongea napata faraja sana.Natamani kuendelea kumsikiliza.Ni mzalendo.Genukne.Anachukia ufisadi kwa vitendo.Aoonafiki.Mungu amlinde mtetezi huyu wa wanyonge.
 
Huyo dr wao ukweli slaa sio dk wenu wenu kikweche
 
Ama kweli Dr.Slaa amewahenyesha CCM kiasi cha kutia adabu na kuheshimu upinzani.Walidhani Makamba hawezi kudhibiti kasi ya upinzani kisha wakamweka pembeni na kumleta Dr.Mukama lakini upinzani ulizidi kushika kasi. Maji yalipofika shingoni wakamwona mukama hafai, wakamleta Kinana na kumwondoa Mwigulu Nchemba kutoka wadhifa aliosomea yaani uchumi kisha wakamweka karibu na Kinana ili kuongeza nguvu lakini bado bendera ya CHADEMA inazidi kupepea kuelekea magogoni.Na sasa siyo team work tena kwani Mhe.Mwigulu Nchemba anafanya siasa za kivyake tofauti na Katibu wake Kanali Kinana. Wahenga walisema la kuvunda halina ubani, R.I.P CCM!
 
No reason to object but to support the fact.With Dr. Slaa, Tanganyikans will enjoy the fruits of their natural resources
 
siyo Dr Slaa pekee mwenye kustahili sifa za kuijenga CDM, ni jumla yetu sisi, mimi na wewe na juhudi za dhati za akina Ben, Mwanakijiji et zilizoifikisha CDM hapa ilipo...Kazi ni kubwa mbele yetu maana CCM inalindwa na fedha za wawekezaji wenye kutuubia madini yetu, hizo MNCs zimejiwekea bajeti ya matrilioni ya kuhonga uchaguzi ili wamweke mtu wamtakao...Narudia tena sasa ni wakati wa CDM kujipanga na si kusherehekea maana kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa sana. tusitarajie kampuni kama Mantra ya George Bush, Symbion, Barrick na sasa nasikia Exxon nayo inaingia Mtwara thru Sysmbion watakubali kirahisi CCM itoke madarakani kirahisi - chaguzi iliyopita Barrick walitoa kiasi kikubwa sana cha fedha, waangalizi wa uchaguzi walikuwa pale kuhakikisha CCM inashinda kwa gharama yoyote ile ndiyo maana mtandao mpaka leo umechanganyikiwa kwa kushindwa kutoa idadi ya kura zilizopigwa...Pia wagombea wa Upinzani huwa wanahongwa wakati mwingine ili wasigombee ama wakubali kushindwa!!! Kazi ipo...tusi mwachie Mbowe, Slaa et al ukombozi wa Taifa letu ... Tushirikiane mimi na wewe na wengineo ili hatimae dhahabu zetu, almasi zetu, Gesi yetu na rasilimali zetu zitunufaishe sis Watanzania kwanza...
 
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja

Tathimini yako ni safi sana na ni ukweli usio pingika na mtu yeyote mwenye busara na mkweli.
 
Kumekuwepo na maneno mengi kumhusu DR. W. SLAA, na mimi c mshabiki sana wa majina ya watu lakini Kwa Dr. SLAA.. mnyonge mnyongeni haki yake mpeni... nimeangalia makatibu wakuu na viongozi wote wa vyama vikuu vya siasa nchini toka mwaka 1992.. Nimegundua.. ni DR. SLAA pekee., 1. aliyeweza kujenga chama cha siasa kwa mafanikio makubwa mno na kwa muda mfupi sana bila kuyumbishwa.. mf. kutoka wabunge 5-50 (the figure subjected to increase b4 2015 G. elect) 2. Ndio katibu mkuu pekee wa chama cha upinzani aliyesababisha kuvunywa na kupanguliwa kwa mfumo wote wa chama tawala tokea chini had juu, na kuweka mikakat dhaifu kama kujivua gamba, nk 3. Ni katibu mkuu pekee jasiri, mwenye uwezo mkubwa wa ku handle conflict bila kuvuruga chama(ref. Shibuda, Shonza, Mwampamba etc) na anaejibu hoja kwenye mitandao ya kijamii bila kupepesa macho. 4. Ndie Katibu mkuu peke anaeweza kuja kuwa rais wa tanzania kuelekea 2015. Tafadhal pinga kwa hoja

Ndoto sio lazma uote usiku hata mchaana unaota pia,Kwa utash upi alionao mpaka aje kuwa Rais wa Tz,fanya utafti utagundua hata umaarufu aliokuwa nao 2010 na sasaa umeporomoka sana na n baada ya kutopima kipi aseme kwenye media na kip asiseme,angalia issue ya PK bado hyo haitosh kawalau watu wa din wasiombee Tz aman kuwa n wanafki,,,,,,,ooh ndo nn hko anafanya?kalisaliti kanisa hashindwi tusaliti waTz huyo,umri umemtupa awe mshauri tu wa Zitto Kabwe,Mdee na Mnyika.ova.
 
Back
Top Bottom