mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
ha ha ha ha ni wazo zuri piaMinadhani hoja namba moja ingekua ni pesa, mana haya yote hayawezekani bila pesa.
Unawafaa watu wote mkuuHivi Kwa sisi madereva wa DANGOTE ushauri Huu Unatufaa?.
You are not serious, wajua kumfuata tu ni bei ganiMfuate alipo...abiria chunga mzigo wako
sasa huo muda wa kukaa na mke naupataje wakati kila siku niko barabarani?Unawafaa watu wote mkuu
ha ha ha ha ha mara moja moja sio mbayaYou are not serious, wajua kumfuata tu ni bei gani
ha ha ha ha,hapo ndio changamoto za maisha zilipo;kuna kutafuta na kuna kuishi pia.sasa huo muda wa kukaa na mke naupataje wakati kila siku niko barabarani?
Hapo umenenaha ha ha ha ha mara moja moja sio mbaya
Dah unanifanya nikose amani maana tu kumfuata haiwezekaniMfuate alipo...abiria chunga mzigo wako!
Kuna umbali ganiDah unanifanya nikose amani maana tu kumfuata haiwezekani
usipofanya hivyo,kuna ule usemi wa 'kuchapiwa ni siri ya ndani'Hapo umenena
Upi ushauri wako juu ya hili vipi nikae nyumbani na mama watoto huku njaa ikitutafuna ili nidumishe upendo au niendelee kupiga gia ili family iende chooni?ha ha ha ha,hapo ndio changamoto za maisha zilipo;kuna kutafuta na kuna kuishi pia.
ha ha ha ha inabidi nicheke tuUpi ushauri wako juu ya hili vipi nikae nyumbani na mama watoto huku njaa ikitutafuna ili nidumishe upendo au niendelee kupiga gia ili family iende chooni?
toa ushauri ndugu mwenzio niko njia panda ujueha ha ha ha inabidi nicheke tu
Kutafuta ela pia kuna umuhimu na ili maisha yaende vizuri pesa ni muhimu;na kufurahia maisha pia ni muhimu,unaweza kutenga siku zako wewe unazoona una nafasi ukazitumia vizuri na mwenzako na maisha yakaendelea.toa ushauri ndugu mwenzio niko njia panda ujue
sawa mkuu ila tatizo kazi za watu hazina kujitengea muda maana ukizingua kazi huna.Kutafuta ela pia kuna umuhimu na ili maisha yaende vizuri pesa ni muhimu;na kufurahia maisha pia ni muhimu,unaweza kutenga siku zako wewe unazoona una nafasi ukazitumia vizuri na mwenzako na maisha yakaendelea.
Ni kweli mkuu,hapo ndipo tunapata machungu ya kutaka kujiajiri katika shughuli mbalimbali.sawa mkuu ila tatizo kazi za watu hazina kujitengea muda maana ukizingua kazi huna.