Kudumisha uhusiano katika ndoa/wapenzi

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,403
40,320
  • Kuanzia ijumaa jioni mpaka jumapili jioni ni kipindi kizuri kwa wanandoa/wapenzi kuwa pamoja katika mazingira yenye utulivu na 'romantic' ili kudumisha uhusiano wenu.
  • Ni kipindi cha kupeana zawadi,kupata vinywaji na 'romantic food' huku mkidumisha uhusiano wenu.
  • Walengwa wanatakiwa kuwa smati na kuvaa mavazi ya kumvutia/kumtamanisha mwenziwe huku kukiwa na mziki wa taratiibu kuwakumbusha walikotoka.
  • Maisha yenyewe mafupi,kufanya hivi kunapunguza migogoro katika ndoa pamoja na kupigana vibuti kwa wapenzi.
  • Hata kama mna watoto,mnaweza kuwawekea mazingira wasiharibu ratiba zenu.
  • Wanandoa/wapenzi pambaneni.....ndio maisha yenyewe haya.
 
  • Kuanzia ijumaa jioni mpaka jumapili jioni ni kipindi kizuri kwa wanandoa/wapenzi kuwa pamoja katika mazingira yenye utulivu na 'romantic' ili kudumisha uhusiano wenu.
  • Ni kipindi cha kupeana zawadi,kupata vinywaji na 'romantic food' huku mkidumisha uhusiano wenu.
  • Walengwa wanatakiwa kuwa smati na kuvaa mavazi ya kumvutia/kumtamanisha mwenziwe huku kukiwa na mziki wa taratiibu kuwakumbusha walikotoka.
  • Maisha yenyewe mafupi,kufanya hivi kunapunguza migogoro katika ndoa pamoja na kupigana vibuti kwa wapenzi.
  • Hata kama mna watoto,mnaweza kuwawekea mazingira wasiharibu ratiba zenu.
  • Wanandoa/wapenzi pambaneni.....ndio maisha yenyewe haya.
Itakuaje kwa sisi makapuku na hizo ndo siku muhimu kwenye kazi?

:Dont folo folo me wizout ene bikoz:
 
Ngoja niuhifadhi huu ushauri, siku nami nikipata Mpenzi/Mke, basi nitautumia

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Ni muda mzuri wa kupanda mbegu hasa kwa wale wanaotaka kuja kuitwa wazazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom