Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Takribani kila siku watu wengi hasa wanaodowea vya bure kwa kutumia proxy wamekuwa wakipata tatizo kudownload torrents via u toorrent na kulazimika kudownload vitu vya kawaida tu well kaeni mkao wa kudownload movie torrents maana hapa nilipo mwenyewe nashusha movie kwa hasira zot ENOUGH STORIES $$$$$$ chakufanya futa proxy settings then type url KAT.PH maana hiyo ndiyo niliyojaribu hapo ntarecommend ujiunge na cheka internet ya mb 20 maana ukifuta proxy utakatwa so ukishaingia KAT.PH chagua torrent unayoitaka ,ukiona kuna notification kwamba browser imedetect download we minya cancel badala yake hiyo sehemu uliyominya hadi ikakuletea download notificatioon itabidi ui right click then chagua copy link location then nenda ZBIGZ.COM futa maandishi kwenye kibox then right click alafu minya paste then minya GO FREE subiri kidogo utaona sehemu ya kudownload ukishaiminya hakikisha kwamba inadetect download ,ikidetect minya cancel halafu iright click hiyo sehemu ya kudownload halafu select copy link sasa karudishe proxy settings ingiza lain ambayo haina hela ,kwenye ile sehemu ya kuingiza adress we itabidi uright click halafu minya paste kitu kitaanza moja kwa moja kudownload
LASTLY PLEASE POST FEEDBACKS KAMA UMEFANIKIWA AU KAMA UMESHINDWA[/B]
LASTLY PLEASE POST FEEDBACKS KAMA UMEFANIKIWA AU KAMA UMESHINDWA[/B]