Kudownload torrents with idm imewekana 100%

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Takribani kila siku watu wengi hasa wanaodowea vya bure kwa kutumia proxy wamekuwa wakipata tatizo kudownload torrents via u toorrent na kulazimika kudownload vitu vya kawaida tu well kaeni mkao wa kudownload movie torrents maana hapa nilipo mwenyewe nashusha movie kwa hasira zot ENOUGH STORIES $$$$$$ chakufanya futa proxy settings then type url KAT.PH maana hiyo ndiyo niliyojaribu hapo ntarecommend ujiunge na cheka internet ya mb 20 maana ukifuta proxy utakatwa so ukishaingia KAT.PH chagua torrent unayoitaka ,ukiona kuna notification kwamba browser imedetect download we minya cancel badala yake hiyo sehemu uliyominya hadi ikakuletea download notificatioon itabidi ui right click then chagua copy link location then nenda ZBIGZ.COM futa maandishi kwenye kibox then right click alafu minya paste then minya GO FREE subiri kidogo utaona sehemu ya kudownload ukishaiminya hakikisha kwamba inadetect download ,ikidetect minya cancel halafu iright click hiyo sehemu ya kudownload halafu select copy link sasa karudishe proxy settings ingiza lain ambayo haina hela ,kwenye ile sehemu ya kuingiza adress we itabidi uright click halafu minya paste kitu kitaanza moja kwa moja kudownload
LASTLY PLEASE POST FEEDBACKS KAMA UMEFANIKIWA AU KAMA UMESHINDWA[/B]
 
Kwa proxy zbigz imegoma,inaleta error ikishaload!Labda utueleze umetumia internet gani.
---Believdat---
 
Error. Torrent not found.
Possible reasons:
- invalid link to the torrent file;
- torrent file is damaged;
Please notify us about this error.
 
okay guys chakufanya futa proxy settings then type url KAT.PH maana hiyo ndiyo niliyojaribu hapo ntarecommend ujiunge na cheka internet ya mb 20 maana ukifuta proxy utakatwa so ukishaingia KAT.PH chagua torrent unayoitaka ,ukiona kuna notification kwamba browser imedetect download we minya cancel badala yake hiyo sehemu uliyominya hadi ikakuletea download notificatioon itabidi ui right click then chagua copy link location then nenda ZBIGZ.COM futa maandishi kwenye kibox then right click alafu minya paste then minya GO FREE subiri kidogo utaona sehemu ya kudownload ukishaiminya hakikisha kwamba inadetect download ,ikidetect minya cancel halafu iright click hiyo sehemu ya kudownload halafu select copy link sasa karudishe proxy settings ingiza lain ambayo haina hela ,kwenye ile sehemu ya kuingiza adress we itabidi uright click halafu minya paste kitu kitaanza moja kwa moja kudownload
 
hao jamaa kazi imewashinda server yao ni ndogo ili uweze download lazma file liwe na seeders wengi kuanzia 80 na pia lisiwe kubwa maana watu wengi wanaitumia hio site
 
Weakness hiyo go free yenyewe wamelimit speed movie ya 700mb unadownload kwa 4hrs. Kwa premium member ndo mzuka. Haina maana mabo yote File hosting hakuna torrents au nn? Natumia torrents nikibanwa sana kama file nalotaka silipati kwa hosting sites.
 
mkwawa ntumie process kutumia simu my phone is vry capable kama process unaona itachanganya watu plz PM
 
mkwawa ntumie process kutumia simu my phone is vry capable kama process unaona itachanganya watu plz PM

Yani nime maanisha kuwa situmii torrent natumia hosting files haswa mediafire na rapidshare kudownload files kubwa, na natumia simu opera 12 ya symbian ina speed nzuri sana, ipo pia python application (kama una python katika simu yako) inaitwa smart get naitumia kama nina bundle ni download accelerator isiyosupport proxy
 
Back
Top Bottom