Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Marafiki wa kibongo sio. Niliwakopesha, kudai changu sikulipwa. Nikabadili formation ya kudai kwa kuwakopa ile kuwaektia nimekwa napo sikukopeshwa. Marafiki wa kibongo ni wakubishana nao mpira tu.
Halafu unakuta hela yenyewe ni ndogo tu Ila mtu anavunja urafiki kisa hataki kukulipa.

Ndio maana wanasema ukitaka urafiki udumu msiingize mambo ya hela Ila sasa sio rahisi kuona rafiki yako anakwama na ushindwe kumsaidia.
 
Ukiona nimekukopesha pesa ujue hiyo pesa niko tayari kuipoteza na incase ukitokomea nayo tunakuwa maadui kuanzia siku hiyo, unaweza usione baya lolote nitakalo kufanyia ila jua kamwe sintokuja kukusaidia katika jambo lolote linalohusu fedha hata uwe na shida namna gani
Wewe upo kama mimi mkuu,, jibu langu hua ni moja tu "SINA" na ukiona nimekukopesha ujue nakupa ile ambayo najua hata ukisepa nayo haiumi...
 
Back
Top Bottom