Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Ishu nilimuachia afanye negotiation na watoa huduma fulani afu mimi ni focus na kazi sasa amount aliyokuja kuniambia mimi nikakubali sasa katika kuuliza na kutaka kujua ile huduma ina cost kiasi gani nimegundua jamaa kaninyoosha pakubwa sana.
Huu ni ushamba, kama uliridhia malipo ya awali unalalamika bure
 
Alafu sasa moja ya weakness yangu ni kudai hela. Swala la kudai mtu siliwezi kabisa.

Huwa naacha tu ingawa kichwani na moyoni nakuwa nishakudelete kabisa hata ukija kurudisha baadae ndio itabaki hivyo kwamba connection kati yetu haipo tena.
Gongelea nyundo nyingine hii usiwe mwepesi wa kumwambia mtu madhaifu yako maana atayatumia kama silaha kukupigia(Kukuangamiza)
 
Back
Top Bottom