Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Kudhulumiwa na mtu unayemuheshimu

Yaani unanikumbusha deni langu nna watu nilikuwa nawadai kwa vipind tofaut tofauti sasa kipindi kimefika nataka hizo hela zinipe support......unawapigia ni kalenda kalenda tu ooh nakutumia ....mara mambo hayajakaa vizuri

Nilichofanya ni kumwomba Mungu tu amenipa roho ya hekima nimewasamehe(Japo ni ngumu na inauma)

Hitimisho langu ni
1. kumsamehe tu
2. kumchana tu ukwl na kuona reaction yake
3.Usitumie nguvu nyiiingi sana kuwazia Hili jamboo kama mambo mengine yanasonga maana utapotezwa nguvu nyiiingi ,muda na gharama zingine .....
4.Hio iwe alarm kichwani mwako linapotokea jambo jingine la hela uwe makini zaidi
 
Pole sana mkuu maumivu unayopitia niliwahi pitia,Dada yangu wa damu alinidhulumu million 3 week nzima sikupata usingizi.
Duh pole mi kuna mtu alinipiga laki6 aisee nilimfuata
Tatizo linaanzia hapo simudu yaani watu ni wabinafsi sana.
Basi achana nae mzee, focus na kuzisaka zaidi na kuhusu pesa usimwaminiy yote hata mzazi wako atakudisappoint
 
Ishu nilimuachia afanye negotiation na watoa huduma fulani afu mimi ni focus na kazi sasa amount aliyokuja kuniambia mimi nikakubali sasa katika kuuliza na kutaka kujua ile huduma ina cost kiasi gani nimegundua jamaa kaninyoosha pakubwa sana.


Huna kesi, hajawa mwaminifu, ila umeibiwa kizembe
 
Pole sana, kuna watu sio waaminifu na ni matapeli wa chini chini.
Mtu unamuamini na kumsaidia anapokwama ila wakati wa kurudisha anajizima data.
Marafiki wa kibongo sio. Niliwakopesha, kudai changu sikulipwa. Nikabadili formation ya kudai kwa kuwakopa ile kuwaektia nimekwa napo sikukopeshwa. Marafiki wa kibongo ni wakubishana nao mpira tu.
 
Ishu nilimuachia afanye negotiation na watoa huduma fulani afu mimi ni focus na kazi sasa amount aliyokuja kuniambia mimi nikakubali sasa katika kuuliza na kutaka kujua ile huduma ina cost kiasi gani nimegundua jamaa kaninyoosha pakubwa sana.
Hizi stori za kudhulumiwa zimekuja kipindi ambacho nimempa Mtu wangunwa zamani 5M tufungue biashara mimi niko Mkoa mwingine.

Kwa jinsi navyopata pesa kwa jasho( sio chawa wa kuteuliwa) akinidhulum ndio ataniona kama mimi ni Mchawi Konkodi au la!

Pesa naipata kwa shida na tabu sana
 
Ukiona nimekukopesha pesa ujue hiyo pesa niko tayari kuipoteza na incase ukitokomea nayo tunakuwa maadui kuanzia siku hiyo, unaweza usione baya lolote nitakalo kufanyia ila jua kamwe sintokuja kukusaidia katika jambo lolote linalohusu fedha hata uwe na shida namna gani
 
Back
Top Bottom