mamii2
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 356
- 108
- Thread starter
- #21
Huyo mwanamke hana akili jamani.Yani mapungufu ya mumewe kwanini wasivumiliane na watafute solution?Mbaya zaidi mashost nao sio mashost maana wamwishaanza kumsaliti.Ndio maana mie sipendi ushost kabisaa na sitaki mashost
maishani mwangu
Yaani inauma sana aisee siku huyo kaka akijua ukweli hakika ataumia mno