Kuchukuliwa mke inauma

Kuchukuliwa mke inauma

annabrenda

Siku zote huwa najiuliza sana mkuu!! wanawake tuna mioyovmigumu sana!! waguse wao sasa hayo machozi yake! hatavdawasco wakat maji mwezi mnaoga
 
Last edited by a moderator:
Kesho nasafiri toka bukoba jiandae, lasivyo achana na mke wangu.
 
Naangaliaga cheat tv inaniumiza utasema mimi
 
Polisi jamii

Wewe huna kazi nyengine ya kufanya zaidi ya hiyo? Utaichosha baada ya muda mfupi kama mwendo wako ndiyo huo
 
Last edited by a moderator:
nyinyi kuwa na wanaume wengi ni janga kwenye familia,kijamii na kithamani pia kwakuwa mwili wako unatumiwa na kila mtu unakuwa hufai

Hivi ni wapi wameseme kuwa ni mwili wa mwanamke tu ndo unaoshuka thaman kwa kuwa na wanaume wengi ila si wa mwanaume? wote bila kujali jinsia tunashuka thamani kwa kuwa na watu wengi achen kutudunusha sisi wanawake.
 
Back
Top Bottom