Jana jioni nimepigiwa simu na jamaa mmoja inaonekana ni mtu mzima hivi kutokana na sauti. Tukasalimiana kistaarabu tu akaniambia wewe si Bakari nimjibu sio utakua umekosea namba,but kang'ang'ania mim ni Bakari.
Akaniambia nimekupigia simu naomba uachane na mke wangu. "Nikastuka mke wako" anasema ndio. Namba kaipata kwa mke wake.Kumuuliza yuko wapi anasema wao wanaishi Bukoba.
Mzee anatia huruma maskini. Sasa kijana mimi Bukoba hata sikujui me nipo Dar es salaam wala sina mahusiano na mke wa mtu nasikitika mzee kapewa namba ya uongo so anayetembea na mke wake ataendelea huku mzee akiamini ashamkanya.
Akaniambia nimekupigia simu naomba uachane na mke wangu. "Nikastuka mke wako" anasema ndio. Namba kaipata kwa mke wake.Kumuuliza yuko wapi anasema wao wanaishi Bukoba.
Mzee anatia huruma maskini. Sasa kijana mimi Bukoba hata sikujui me nipo Dar es salaam wala sina mahusiano na mke wa mtu nasikitika mzee kapewa namba ya uongo so anayetembea na mke wake ataendelea huku mzee akiamini ashamkanya.