Ni kiasi gani wanafanya hapa dar na ni wapi?
Ahsante.
kama gari yako ina immobiliser system ukichongesha funguo wa kawaida hautawasha gari unatakiwa utafute transponder key yenye chip kwa ndani utakayoweza kuilink na system ya ignition. kama haina immobiliser kachongeshe funguo wa kawaida. waone hawa jamaa naskia wanachonga funguo piaNi kiasi gani wanafanya hapa dar na ni wapi?
Ahsante.
kama gari yako ina immobiliser system ukichongesha funguo wa kawaida hautawasha gari unatakiwa utafute transponder key yenye chip kwa ndani utakayoweza kuiling na system ya ignition. kama haina immobiliser kachongeshe funguo wa kawaida. waone hawa jamaa naskia wanachonga funguo pia
![]()
kwani yeye kasema anataka kuchongesha "kirahisi mtaani"???? We mwambie unapopajua panachongesha ufungua, period!Gari gani mkuu? gari nyingi za sasa hivi HAUWEZI kuchongesha funguo kirahisi mtaani, you might need a specialist, au hata manufacturer mwenyewe!
happunew yr mpwa upo??nilivyosikia halizahewa mbaya nkakuomnea kweli usalimike nameli zetu zile.gari gani mkuu? Gari nyingi za sasa hivi hauwezi kuchongesha funguo kirahisi mtaani, you might need a specialist, au hata manufacturer mwenyewe!
sasa unajuaje kama gari ina immobiliser au haina immobiliser??? na hiyo transponder key unaipata wapi usawa huu?kama gari yako ina immobiliser system ukichongesha funguo wa kawaida hautawasha gari unatakiwa utafute transponder key yenye chip kwa ndani utakayoweza kuiling na system ya ignition. kama haina immobiliser kachongeshe funguo wa kawaida. waone hawa jamaa naskia wanachonga funguo pia
![]()
happunew yr mpwa upo??nilivyosikia halizahewa mbaya nkakuomnea kweli usalimike nameli zetu zile.gari gani mkuu? Gari nyingi za sasa hivi hauwezi kuchongesha funguo kirahisi mtaani, you might need a specialist, au hata manufacturer mwenyewe!
Nenda sinza makaburini pale,au mwenge mataa zinakopaki breakdowns bei ina range kuanzia 4000 mpaka 8000 inategemea na aina ya funguo.Haichukui muda only 5minsNi kiasi gani wanafanya hapa dar na ni wapi?
Ahsante.