Funguo ya gari gani? kwasababu kuna magari yenye immobilizer system, unaweza kuchonga funguo vizuri lakini isiwashe gari mpaka ufunguo uwe programmed kuwasha gari hilo. Gari lako Make, Model, Year gani?Nimepotelewa na funguo ya gari na haikuwa na copy, vipi kuna uwezekano wowote wa kutengeneza funguo bila copy ya kuangalizia?
Kama kuna mtu anao utaalamu tusaidiane au tupeane contacts kwa anayemfahamu mtaalam.
Funguo ya gari gani? kwasababu kuna magari yenye immobilizer system, unaweza kuchonga funguo vizuri lakini isiwashe gari mpaka ufunguo uwe programmed kuwasha gari hilo. Gari lako Make, Model, Year gani?
magari mengi ya siku hizi yanakuja na immobilizer system, ili kuwasha yanahitaji uweke Master Key au Transponder Keys zilizokuwa programmed na ECU ya gari. Ndani ya funguo kunakuwa na chip inayofanya mawasiliano na ECU ya gari. Bila huo ufunguo Anti Theft System inakata Fuel Flow kwenye Engine kwahiyo gari haliweza kuwaka,,mfano mzuri kwenye magari ya Toyota kunakuwa na taa nyekundu inaBlink either ndani ya speedometer au kwenye dashboard, inakuwa na shape ya gari + ufunguo. Unapochomeka ufunguo unaotambulika ile taa inazima..Hapa si unaweza kuchonga funguo ukaiba gari ya mtu???
magari mengi ya siku hizi yanakuja na immobilizer system, ili kuwasha yanahitaji uweke Master Key au Transponder Keys zilizokuwa programmed na ECU ya gari. Ndani ya funguo kunakuwa na chip inayofanya mawasiliano na ECU ya gari. Bila huo ufunguo Anti Theft System inakata Fuel Flow kwenye Engine kwahiyo gari haliweza kuwaka,,mfano mzuri kwenye magari ya Toyota kunakuwa na taa nyekundu inaBlink either ndani ya speedometer au kwenye dashboard, inakuwa na shape ya gari + ufunguo. Unapochomeka ufunguo unaotambulika ile taa inazima..
![]()
Huwezi. Kila gari imeundwa kwa Starter switch yenye circuit tofauti.Hapa si unaweza kuchonga funguo ukaiba gari ya mtu???
Ni mrejesho au ni Tangazo!!!Mrejesho:
Hawa jamaa si mchezo funguo inawasha gari kama vile ni original.