Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

Nasikia siku hizi ni nyie mnatuwekea kwa siri kwenye vinywaji hizi dawa ili tuwe na nguvu za ziada za kuwafikisha. Ya kweli hayo Kaunga?

Wengine tuna nguvu zilizopitiliza,akijichanganya sijui nani atamsaidia!
 
Imeniuma bana Lizzy kulamba ban.
Back to topic,kuna siku niliopoa mzigo mumbai,yaani ilikuwa shughuli kuvua sari nusu saa mpaka ka niniliyu kanaishiwa nguvu.
Madem wa kibongo tushawazoea,mimi huwa ninawaambia watangulie chumbani wajiandae,nikiingia chumbani yuko kwenye shuka.


Pole Bashaija. teh teh teh. Unamkuta kwenye shuka?
Kweli sikuwezi. Pole na Lizzy, yani mimi hata sielewi kakosa nini.
 
Erotica duuh kwa kweli kwa style hiyo lazima mtu uwe na stress za kuwaza itakuwaje siku ya kukutana na huyo aliyekutamani kwa kujipigilia madude feki.
Hapo kwenye mahips ya bandia,naombeni mnieleweshe,hivi hayanuki na joto? au usafi wake unakuwaje ,unafua kila siku usiku ukilala au mtu unakua nayo mengi?kwa kweli nywele kucha nitatengeneza ila mahips ya bandia hapana kwa kweli,ili iweje sasa,naona kama sitakua namdanganya mtu bali najidanganya mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Duh cjui utasomekaje . . kwan jamaa akiona hips hesabu zitaanzia hapo. ngoma akikuta flat duh nadhan hawa kwa viagra haisimami
 
klorokwini jeiefu loya vipi leo umeokoa wangapi dhidi ya kifungo?
Leo nilismamia kesi ya mod flani (jina linahifaziwa) , aliingia mitini na hela ya watu ya mchango wa ndoa ya mkeka, kesi ilikuwa ngumu lakini dalili zinaonesha mod wetu atakuwa huru vere soon chini ya usmamizi wangu.
 
Erotica,mimi niko tofauti na wanaume wengine,nimejifunza kuhusu kujitambua,namejieunza kupenda ni nini so najua ninachofanya.Wanawake wote kwanza nawatazama kwa utu wao,kisha kama nahitaji mahusiano siangalii mwili naangalia kama mwanamke anajitambua na kujua majukumu yake,hayo ndo ya muhimu kwangu.Mwili hauna nafasi kwangu kwani hauna mashiko.Hebu fikiria umevutiwa na chuchu saa sita anakuja kujifungua zinabadilika zinakua kama ndala,wewe unafikiri nini kinafuata?. . . . .


Hizi ni propaganda kaka. Nakuuliza nini cha kwanza kukuvutia kwa mwanamke?
Iwe mavazi, iwe macho, masaburi, upole, ucheshi. Ukitaja sio dhambi.
hayo ulioeleza sio wewe funguka usiogope.
 
sun wu,hivi unadhani wanawake wanajipodoa kwaajili yao wenyewe?Your wrong!
 
Last edited by a moderator:
I guess its the thought that counts.., yaani mtu unampenda ila anajaribu zaidi kuwa mrembo (au anapenda kuwa mrembo, ili uvutiwe zaidi), by the way sidhani kama kina dada huwa wanajipodoa ili kuwakoga wanaume wengine ni for their own self esteem na wengine ni kuwakoga washikaji wao kwamba wanakwenda with time.


Nakubali. Mimi ni mwanamke I understand better. selfesteem
as a reason ipo chini ya ile ya kuonekana desirable. I gurantee you.
That is wat poses the problem, knowing I look amost perfect while knowing
I have been enhanced by more than 50%. The question remains how do I get
that 50% off without feeling less of how I looked before?
 
Hizi ni propaganda kaka. Nakuuliza nini cha kwanza kukuvutia kwa mwanamke?
Iwe mavazi, iwe macho, masaburi, upole, ucheshi. Ukitaja sio dhambi.
hayo ulioeleza sio wewe funguka usiogope.

Sina sababu ya kukudanganya!Sifaidiki chochote kwa kusema uongo.Huo ndio ukweli!
 
Tatizo linakuja siku umenitongoza vyote hivo ninavo mwilini
hio confidence itoke wapi na hali najua viwezesha urembo vimecheza nafasi yake?

Si una pochi kubwa? wakati jamaa anajiandaa, na wewe unajifanya kwenda toilet, then unachojolea huko huko, na kuvaa utafanya hivyo hivyo.

Kama mashine yako inalipa na wewe mwenyewe umo, jamaa atasahau vyote hivyo.
Nakwambia ukweli wangu.....
 
sun wu,hivi unadhani wanawake wanajipodoa kwaajili yao wenyewe?Your wrong!
Wanajipodoa kwa ajili yao wenyewe kufeel good, marafiki zao na ku-appear presentable ila sio necessarily kumvutia mpenzi wao mfano mzuri married couples ile beauty box huwa inavutwa wakati wa kutoka na kwenda nje na sio wakati wa kuingia ndani (kwa baadhi) na wengine hata akiwa peke yake bila make-up anafeel naked (ni mazoea) na huwezi ukageneralize kwamba vipodozi ni mawindo ya mtu au kumvutia mtu, and mostly ni sababu ya mashoga zao na kuwakoga wenzao.

Women and Beauty goes hand and hand and they will do anything to appear more beautiful regardless kama wapo mbele ya wanaume au in a cell for of women
 
bibi wee....inakuwaga shida sana......mimi huwa nasubiri tulewe chakari ndio shughuli iendelee....na ni mwiko kuover night....
hivi hizo gharama zote nilizotumia atanirudishia.......?

Preta mbona avator yako haina vingi vya kichina????:A S kiss:
 
Wanajipodoa kwa ajili yao wenyewe kufeel good, marafiki zao na ku-appear presentable ila sio necessarily kumvutia mpenzi wao mfano mzuri married couples ile beauty box huwa inavutwa wakati wa kutoka na kwenda nje na sio wakati wa kuingia ndani (kwa baadhi) na wengine hata akiwa peke yake bila make-up anafeel naked (ni mazoea) na huwezi ukageneralize kwamba vipodozi ni mawindo ya mtu au kumvutia mtu, and mostly ni sababu ya mashoga zao na kuwakoga wenzao.

Women and Beauty goes hand and hand and they will do anything to appear more beautiful regardless kama wapo mbele ya wanaume au in a cell for of women

I doubt it!. . . . . .
 
hio shida ndio inanipa shida. Shosti tatizo ni pale ambapo mnaenda kuspendi siku mbili tatu.
Gharama must Preta. awe amekodi gari ama lake yeye ndie inabidi a foot hio bili lasivo siendi.

Kumbe ni mjasiriamali? Ohh, hii post yako lakini imetulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom