Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Uvivu upi?Kuna ule wa kamoja mtu hoi,ila ni daily,sidhani kama hapa mtapanga uzazi!
Kimoja mara moja kwa mwezi! Weweeee wa daily huyo uyamuita mvivu!
Uvivu upi?Kuna ule wa kamoja mtu hoi,ila ni daily,sidhani kama hapa mtapanga uzazi!
Uvivu wa kufanya mapenzi ni birth control, nilikuwa namjibu Tuko!
Wanaume tuna kazi?
Women liberation kwenye mahusiano ya mapenzi ni ndoto kabisa!
Kimoja mara moja kwa mwezi! Weweeee wa daily huyo uyamuita mvivu!
teh teh teh. Kugoma kwangu kwenda ndio imekupa picha mie mjasiriamali?
Mhhh... There must be some resemblance.....
Even if it is not 100%
Okada wewe wa ukweli. Hii nitaifanyia kazi. Ila nina swali, mwanamke
atajua vipi mashine yake inalipa kabla hajakutana kimwili na mwanaume?
ha ha haaa... hivi siku ukiwa hujisikii na mzee unamuona kabisa siku hiyo anataka unatumia kisingizio gani?
Hivi na wanawake wanajuaje vile?Au mpaka baada ya gemu ndo jamaa anakuambia?
hakuna kitu.....
Wangejua kusoma alama za ishara wangejua kirahisi. Mfano kila mwanaume anayedu nae hataki kurudia round ya pili, na haombi tena tundi...
Wala situmii kisingizio chochote; ninamwambia na tunaelewana!
DESIRABLE.., !!!, that's a relative term...
whats more desirable a booty enhanced with some cloth or a flat booty (or normal booty) naked without any cloth..?
Eyes full of Wanja... or Normal Eyes (no matter how they look) but full of invitation and calling, saying am ready for you?
Hips hidden by a cloth.., or hips just natural with a skin kama vile ulivyozaliwa..?
Point yangu ni kwamba kama mtu amekupenda ukiwa umevaa there is more alichokupendea (unless its lust) na ukiwa naked am sure atavutiwa zaidi (and whats every woman has is enough to satisfy any man).. LAKINI tatizo huwa ni kwa muhusika mwenyewe mwenye mwili maybe not feeling confident kwenye her own skin..
Hivyo basi wigs / nails and the like might be more effective nje na sio inside a room (thats why kuna wanawake wakifika home wanatundika their extras.., because their job is done.., what needed within the four walls of the room comes from within)
Kimoja mara moja kwa mwezi! Weweeee wa daily huyo uyamuita mvivu!
Ukiona hivyo ujue unasaidiwa mamaa...