Rebel volcano
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 403
- 86
kwa nini hakuna sehemu maalumu zilizojengwa kwa ajili ya wasafiri kukidhi haja zao??!!!(kuchimba dawa kama ilivyozoeleka)
tunapokuwa kwenye basi kila mmoja ana magonjwa yake,na magonjwa mengine huambukizwa kwa njia ya kinyesi au mkojo,hili swala la kundi kubwa la mabasi kuchimbisha dawa abiria wake sehemu mmoja tena vichakani hakuna choo hakuna maji hakuna huduma yoyote ya maana,uchafu na magonjwa yanaenea ovyo ni kitu ambacho kinatakiwa kiangaliwe upya,ili kujali afya za wasafiri,na kuepusha miripuko ya magonjwa.
tunapokuwa kwenye basi kila mmoja ana magonjwa yake,na magonjwa mengine huambukizwa kwa njia ya kinyesi au mkojo,hili swala la kundi kubwa la mabasi kuchimbisha dawa abiria wake sehemu mmoja tena vichakani hakuna choo hakuna maji hakuna huduma yoyote ya maana,uchafu na magonjwa yanaenea ovyo ni kitu ambacho kinatakiwa kiangaliwe upya,ili kujali afya za wasafiri,na kuepusha miripuko ya magonjwa.