Mwl.RCT
Platinum Member
- Apr 5, 2009
- 15,637
- 22,429
Hapa kuna tatizo kati ya hawa wapendanao:Hakuonyesh upendo
Hapa kuna tatizo kati ya hawa wapendanao:Hakuonyesh upendo
Njoo dm nikusaidie dawa atasahau 100%Huu MSEMO ni ingizo jipya KICHWANI mwangu ☺️☺️
NB. Nawaza kurejesha furaha ya wife maana kanishika...nime msalitii sijui itakuaje yaani
Asante sanaaaaaa ndugu ushahidiii usio na shaka na tendency ya kuchelewaa kurudi home na pia kunywa pombeee kiasiii Mimi sio MLEVIIIIII ni mnywajii wa kistaarabu..Chill down mkuu, mkeo furaha yake itarejea ikiwa tu utafanya moja kati ya haya mawili.
Kama hana uhakika kuwa ulichepuka basi wekataa na ikibidi apia kabisa ili uokoe ndoa yako.
Kama alikukamata na anao ushahidi basi piga goti mkiwa wawili na omba msamaha kisha badilisha ratiba yako uanze kurudi home mapema na vijizawadi visikauke.
Hawa tumeumbiwa sie mazee....😂
Mkuu weka hapa kwa faida ya wengii ☺️😆Njoo dm nikusaidie dawa atasahau 100%
Nafuatilia kwa ukaribu SANAAAAAAFuraha yake ni kuchepuka tu kulipa kisasi
Ukichepuka UNAKUWA umesovu tatizo umeongeza tatizo?.Tatizo wengi wanakosa upendo kutoka kwa wake zako.kama unakuta mkeo ka furaha kama andazi za mama Amina.
Hakuonyesh upendo utaachaje kuchepuka. kwa iyo usilaumu kuchepuka jiulize umekosea wap mpaka kachepuka.