Kuchepuka raha

Baadhi ya wanaume miss chagga. Huwa nashangaa sana kusikia mrembo analilia dushe na mumewe/BF anamnyima kwa sababu moja au nyingine. Sijui ndiyo nguvu za dushe hakuna au ni kitu gani, lakini huwa hainingii akilini mrembo kunyimwa dushe hadi aamue kulitafuta nje.

hapo ndiyo wanaume mnapojidanganya na bora muendelee kujidanganya
 
dhambi inaua utamdanganya na yeye atakudanganya lakini hamuwezi kumdanganya Mungu. Dhambi matokeo yake ni aibu shetani ni mjanja shtuka dada atakuaibisha. Dhambi inaua
 
wanafikiria tukishazaa tunapata monopose
 
Mchepuko haujakutia mimba? Kama hujapata mimba je, ikitokea mchepuko ukikupa mimba utamwambia mumeo au utambambikizia watoto wa mchepuko wako?
Ckuweza pata mimba,na kwa vile cjawai toa mimba mpaka sasa na watoto 2 nisingeweza itoa,ndio maana nikasema somtym mnachangia kulea watoto wasio wenu ,maisha ya kudanganya ckuzoea afu course ningeumia kupata mimba isiyo ya Mme Wang nimpendae at the end of day ningemwambia sababu kiukwel sikupenda kutoka nje ili hali nilithamin mwili Wang na sikumpenda mchepuko sababu hakuwa Mme Wang mpnz japo alinipa furaha niliisha lkn kwake nilipata mwili gafla USO ulipendeza had Mme Wang alinishangaa,hayo ni mapito sasa nafuraia maisha ya ndoa sababu Mme Wang kajifunza kitu ,
 
Hahaha kwakweli sometime michepuko ina imarisha ndoa.
 
Mkuu una ID mbili? Nadhani nimemquote mleta mada lakini hakuna ubaya nawe kuchangia kwenye huu mjadala pia.

 
That's me kabisa bana lol. Nikionaga thread za mwanamke kuchepuka huwa naenjoy sana comments za humu especially za men. Kwa sababu men mmeshaamua kucheat ni nature yenu and you will never be apologetic. Hapa ingekuwa ndo mwanaume anajisifia kuchepuka, weee angeonekanaje rijali. Au mwanaume akiomba tu ushauri mke anasumbua, anapewa the best solution "kuchepuka. My standing on cheating haijawahi kubadilika though, tena haswa kwa wanaume. But please lemme enjoy some mapovu bana
. All in all katika hili jifunzeni kuwa wake zenu wanahitaji sana attention yenu, wewe upo mbali miezi 3 unafika kwa mkeo eti nimechoka, afu ukiwepo unashinda bar kama paka mmh.
 
Shostisto mie nimepita tu nikakuona hapa......
 
Hapo ni shida mume anaikimbia papuchi hata kama wanaishi pamoja, labda ndiyo nguvu za kiume zimeshapotezea hivyo njemba inabidi tu ikimbie papuchi. Inanishangza sana kusikia mume anakimbia K, sasa kwanini unaoa kama huna uwezo wa kumtimizia mkeo matamanio yake ya kimwili?

 
Chaguo ni lenu,
Uhuru ni wenu,
Haya ni maisha tu,
Hamkatazwi na mtu,
Endeleeni jibu laja sio muda mrefu.
 
Haya wanaume mkuje




Mmeona hii....
Msisema hamjaambiwa



Ila mie napita tu jamani
 
Mchepuko haujakutia mimba? Kama hujapata mimba je, ikitokea mchepuko ukikupa mimba utamwambia mumeo au utambambikizia watoto wa mchepuko wako?
Ngoja nimjibie

Mimba itakuwaya ya mume.no matter what

Ila jamani mie si nishaaga kwenye huu uzi????
 
Umeona eeeh

Roho imewauma wanamtoleaje mapovu mleta uzi

Ndio maana mie napita tu hapa
 
Labda game za nje zinamchosha sana. Maana siku hizi bana uliyesimama kanisani kuapa ni wewe, ila anayetimiziwa mahitaji ya mke ni mwingine. Hakuna binadamu aliyezaliwa faithful naturally afu msisahau tumesamehewa dhambi na sio majaribu. No justification for cheating though, ila play your part well kama mume/mke
 
Umeona eeeh

Roho imewauma wanamtoleaje mapovu mleta uzi

Ndio maana mie napita tu hapa
Hapa wangeshamtaja zamani role model wao Mfalme Suleiman. Ila mwanamke akichepuka utahisi tupo wapi sijui, vifungu vinavyoshushwa + kukemewa na kulaaniwa kwa kuchepuka haha. Ndoa na iheshimiwe na wanandoa wote wawili
 
Hili nalo la kucheza mechi za nje mpaka mume kumsahau mkewe ni tatizo kubwa na labda ndiyo chanzo cha kurudi nyumbani na kuikimbia papuchi, "Nimechoka leo" utaishije na mkeo humgusi wiki wiki mbili au hata mwezi kwa kisingizio cha uchovu!? Kazi kweli kweli nadhani baadhi ya ndoa ni jina tu lakini uhalisia kila mtu yuko kivyake vyake zaidi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…