Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Benny anakusalimia!Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew.
Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
Nipo naye hapaBenny anakusalimia!
Unawashikia nyuchi zao hadi ujue kama hawaliwi?majirani zangu hawagawagi hovyo kama wewe.
Umekariri dyudyu kitandani, dyudyu kifo cha mende..... Lazma uyaone kawaida unatakiwa uwe na amsha amshaevely salt ndo anamapepo mengi ndo tumuombee. yeye sehemu yoyote anainamishwa anapgwa dyudyu.
Ni kweli kabisa, family nyingi zinasimama, watoto wanafika mbali kwa ajili ya mama kupambana.Ukifuatilia watu wengi hata waliosoma elimu zao na walio fanikiwa wamesimamiwa na mama zao, baba zao walikuwa wanakimbizana na vyupi vya wanawake huko baada ya watoto kukua wanarudisha hoho zao nyumbani nakushangaa wewe yawezekana vitumbua na mandazi ya mama yako yamekufikisha hapa
.Mmh naona aibu kwa ajili yao.
Yani aache kutafuta madeal bar acheze na watoto? Utakuwa umempa limbwata aisew.
Wish hawa wenzetu wangejua wana part kubwa sana katika malezi ya watoto apart from kumeet mahitaji yao ya kifedha. I honestly wish..
Mwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.😀Nimekucheka ujinga.
Ulikubali kuolewa kwa hiyari yako leo ndio unakiona kibamia?
Hiyo si ndio best choice yako? au unafuga kambale nowadays.
Yaani wewe! Mbona unapingana na wanaume wenzio?Teh..We Dada nimekupenda gafla..Uamuzi Kuntu kabisa...Safi sana
Unapotaka kufanya kitu angalia mazingira,mimi napinga baadhi ya wanawake ambao wanasema wanachepuka kwasababu waume zao wanachepuka,na wanachukulia eti jamii itawasapoti kwa kisa cha usawa,sisi hiyo Tanzania bado sehemu kubwa tutashangaa,lakini kwa mwanaume haitashangaza sana kama ilivyo kwa mwanamke,tuwe makini tunapitatua mambo.
Nimekupenda Nyani NgabuReally?
Mi mbona naona siku zote wanazo tu hizo nguvu za kuchiti....
Ukiwa mtu mwelewa wala hutopata shida kujua kuwa siku zote huwa wanachiti.
Hata humu wapo wengi tu wanaochiti na najua hilo kwa uhakika wa asilimia 110....hahaha....sitaki maswali nimejuaje.....
Test ndogo ya kuweza kupata fununu kama mtu anachiti, awe mkaka au mdada, ni simu.
Wangapi wapo tayari wenza wao waziguse simu zao muda wowote ule bila tatizo?
Ila pia simu si kigezo cha uhakika kivile. Mtu anaweza kukuachia ushike simu yake utakavyo na bado akawa anachiti vilevile....
So bottom line, both men and women cheat at the same level.....
Sio tu mwanzoni, ndo ujue mke anakupenda pamoja na mapungufu yako, na shida zako anakuvumilia, anakuthamini, badala yake unamuona fala..... Akichoka kuonwa fala ndo matokeo yake hayoMwanzoni haikuwa bamia ila baada ya kuchepuka ameona imekuwa kibamia? Huyu ameathirika na matunizi ya matango yale yaliyowekwa mbolea nyingi yakaumuka sana.
Kwani neno "jirani" wewe unalielewaje?majirani zangu hawagawagi hovyo kama wewe.
Ila mimi kuniombea hautaki eti jirani?evely salt ndo anamapepo mengi ndo tumuombee. yeye sehemu yoyote anainamishwa anapgwa dyudyu.
Aaah kabisa.Haha, pale Mwanafunzi, anapogeuka Mkufunzi. 😀
Demi ni haki yako kumpenda nyani ngabu...ila mshaur mwenzako vizuri kuhusu ndoa yake..even if mume wake anacheat haiwezi ikawa ndo sababu ya yeye kutokwenda kuulizwa na Mungu wake kwamba alifanya nn ili kuuilinda ndoa au alismama kiasi gan kuijenga hii ndoa.akumbke tu every success need a sacrfise...na Mungu hazijui dhambi njemaNimekupenda Nyani Ngabu
Ukishakuwa mwepesi hata hesabu zinapanda, utashangaa unavyoshuka mahesabu. Sasa akili imejaa stress hesabu lazima uzione moto.LOL!, unawasaidia watoto homework with a huge smile hata kama hesabu zinakupiga chenga.
EimeeeenIla mimi kuniombea hautaki eti jirani?
Hayo sio mapepo, huyo ndio mke sasa, yaani kila ukimuhitaji yuko tayari. Sio wale wa oooh nimechoka,mara oooh ninaumwa. Upewe nini tena kama sio mke mwema kama Evelyn Salt???
Haya sema Ameeeen!!
Wawe tu wapole, cha msingi wakituhitaji tupo, sasa wasiwasi wa nini?Haha!, haki ya nani nimecheka leo.
Yaani ndio mmezidisha kuwatisha. Hii ni learning in a tough way sasa.
Umeona eeeh!! Yaani ana akili sana.Teh..We Dada nimekupenda gafla..Uamuzi Kuntu kabisa...Safi sana