Kuchepuka raha

Mimi sio muumini wa uchepukaji na napinga hilo suala,unachotakiwa ujue nikwamba bado jamii yetu haijakubali kuona ni jambo la kawaida mwanamke kuchepuka,kikubwa usishindane na mwanaume kihivyo badala yake tafuta suluhu,mimi hata suala lakusikia dada anaingia gesti huwa inaniuma lakini maumivu yake siyo kama nikiina kaka yangu akiingia gesti kufanya ushenzi.
 
Suluhisho jingine ndio hilo la kuchepuka huku ndoa ikiendelea kuwa ya furaha teleeee.
 
Taratibu jamii itabali tu kuwa hata k
mwanamke akichepuka ni kitu cha kawaida. Time will tell.
..
Na kama mnataka jamii iendelee kufikiria hivyo basi ni muda wenu wa kujitafakari! Kateni shauri mrudieni mungu, ongoza familia yako katika maadili yanayompendeza mungu..hapo mke akichepuka kweli ni aibu kwake.
 
Watuombee tu kwakweli maana hamna namna nyingine tena.
 
Aaaah leo wamegeuka kua waijilisti na wachungaji hatari sana na wafanye maombi kabisa yakuombea wake zao.maana wake tumeomba weeee na kufunga hadi tosha sasa zamu yao.
Kwakweli waanze tu kufunga na kufanya toba na sala. Watuombee sanaaaa, #siosisininature#
 
Ndio taratibu tu jamii itaikubali tu kama ilivyokubali ufuska wa wanaume maana hata hao wanaume wanachepuka na wanawake mjue!!

We umia tu wenzio wanakwenda kupeana mautamu.
 
Daah hiyo jamii ipi unayoizungumzia, ndugu jua dunia imebadilika kila siku wanamwona mme anachepuka kuanzia ngazi ya familia hadi ya mtaa unafikiri mke akichepuka watashangaa nini?
 
Yaani kama tulikuwa tunafikiria the same, hahahaaa!! Wao si ndio vichwa!! Walete suluhisho maana hata watuchome moto hatuachiii hadi na wao wajitambue.
 
ZERO ON PAPER TRANSLATES ZERO IN THE BRAIIIN!!! nasema ziiiiiro on paper translates ziiiiiro in the braaaain!!! Semaaaa eiiiimeni!!
 
Kwakweli huwezi kubishana na asili, mwanamke ukishikwa na ugwadu huku mume anakitembeza nawe kitembeze tu usishindane na nature.



yani wewe utakuwa na kadegree kamishe mishe. ni mchaga. mweupe.


ningekuwa mme wako ningebadilisha dini niwe muislam nioe mke wapili jeuri yako itaishia hapo.
 
Uombewe na nani ukikutwa Ni kibiriti tu!
Bahati nzuri kiberiti ni cha wote, angalia usije ukatiwa wewe kiberiti kabla mkeo.

Ndio muombe sanaaa hilo balaa lisiwakute, maana watoto watamkosa mama yao. Piga goti sali san.
 
Yaani kama tulikuwa tunafikiria the same, hahahaaa!! Wao si ndio vichwa!! Walete suluhisho maana hata watuchome moto hatuachiii hadi na wao wajitambue.
Sijui wanatumia vichwa gani kufikiri maana wana vichwa viwili. Ukute kichwa cha chini kina akili kukiko cha juu. Tatizo ndio hilo.
Wanaume tunawapenda sana nyie ndio VICHWA. Hii dunia mnaiendesha nyie..sisi tunafata upepo na hapa tulipo ni nyie ndio mmetuleta. Bado mna muda wa kuibadili dunia mnavyotaka. We are flexible tutakubali mazingira yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…