Kuchepuka raha

Well kila mtu ana mawazo yake juu ya thread yako.Tuanzie hapa;angekuwa ni mwanaume kasema hayo maneno basi wanaume wenzie wangemuunga mkono ndoa nyingi sana wanaume wamekuwa wakichepuka na mara nyingi wake zao wanafahamu lakini viburi,madharau na kudhan kwamba hakuna chochote wanawake wanaweza fanya basi hata samahani au kuacha kabisa hawawezi kufanya.

Ni kweli mnachokifanya ni dhambi maana kila mmoja alijicommit kwa mwenzie ila tunasahau jambo moja kwamba mwanaume siku zote ni kichwa we learn from them,yote wanayoyafanya tunacopy kutoka kwao na sio wanaume wote lkn kuwa makini magonjwa mengi..Do what makes u happy na mm ningekuwa ww hata mzigo hapati maana alianza kugawa yeye
 
Kitu ambacho unakifanya ni kibaya zaidi ila kwasababu akili yako imefika mwisho basi endelea kwa raha zako na kama vip omba talaka kabisa uende hukoooooo
 
Matendo ya wake zenu ni matokeo ya matendo mnayofanya nyuma yao.
Ukizini na mkeo atagongwa tuu
Wewe dada hapo unalipa maovu ya mumeo anayoyafanya.
Ni kweli unayosema.
.
.Asikwambie mtu wanawake wengi wanapoingia kwenye ndoa wanakuwa ni waaminifu sana na huwa wanajitahidi sana kutokuchepuka. Anaweza akawa anapata shida mume hamjali, ana michepuko anampiga lkn bado ataendelea kuwa mwaminifu.
.
.
Ukiona kachepuka ujue yamemzidia sana. Anachepuka ili kupata relief, mume hamsifii wala hamjali, akipata wa kumjali kidogo lazima achepuke. Mwanamke na yy ni binadamu anazo hisia.
 
 
Vipi kuhusu wale wanaofanyiwa yote hayo na still kuwaona waume zao mabwege na kuanzisha chatting na wasenge wengine. Nje huko!
 
 
Me Siku hzi nkiskia mwanamke kacheat naguna tu..
Na tunapoelekea wanawake kucheat itakua kawaida sana maana wanaume wamezidi
Wakati kuna thread humu Jf wanaume wanajisifia kutembea na wake za watu..
Ndo wayaone sasa.
 
Vipi kuhusu wale wanaofanyiwa yote hayo na still kuwaona waume zao mabwege na kuanzisha chatting na wasenge wengine. Nje huko!
Hao pia wapo. Wanawake wanaowatesa wanaume hawakosekani..na mke akiwa haeleweki mume atachepuka tu. So kumponda huyo dada mnakosea sana. Mnataka avumilie tuuu kwasababu yeye ni mwanamke au?
 
Una mpango wa kuchepuka na mwanaume huyo huyo mmoja au utabadilisha. Niweke oda mapema
 
Me Siku hzi nkiskia mwanamke kacheat naguna tu..
Na tunapoelekea wanawake kucheat itakua kawaida sana maana wanaume wamezidi
Wakati kuna thread humu Jf wanaume wanajisifia kutembea na wake za watu..
Ndo wayaone sasa.
Imeshakuwa kawaida.
 
Acha kumshauri mwenzako ujinga
 
Haswa dear
 
Hivi ni nani atakuwa mbabe wa hiyo vita!!! Nauliza tu!

Wakuu mimi bado najiuliza swali moja tu hasa nikiona maada kama hizi,

Hivi mimi siku nikiamua kwamba leo sasa naoa hivi maisha na familia yangu yataendaje!! Maana ninayoshuhudia humu bado kuchukua maamzi ya kuwa na mke yanakuwa magumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…