Kuchepuka raha

Yani nimkomoe mtu kwa kutumia mwili wangu? labda tu niamue kufanya kwa tamaa zangu.

Mmh aisee ngoja nikitulia niiangalie. Wanaume nyie mkiprovide tu mmemaliza malezi yote, tuna safari ndefu sana
Not all lakini wengi wetu tunatoa room ya kujifunza ni vile tu mnakuwa mna wasiwasi wa kutufundisha..
 
Hakuna kitu kama hicho nyie mnajiona mna mioyo ya nyama ila mwanamke tuna vyuma .. mnachepuka mbaya zaidi mnaenda mbali na kutudharau tukochepuka ooh atapata anguko ungekuwa unanitimizia mqhitaji yangu na kunisikiliza sa ngapi ningepata muda wa kuchepuka ila kwa sababu mna kiburi Acha tufanye kimya kimya tu
 
ndio mkikaa katika vilinge vyenu mnavyoshauliana upuuzi kama uo??? BULLSHIT
 
KORBOTO Mkuu nakuelewa sana.. Na ninakubaliana na hoja zako pia nadhani tunachokubaliana ni kwamba pande zote mbili huchangia hali Hiyo kutokea.

Naelewa pia kuwa hata wao kwa sehemu wamekuwa chanzo cha kuchepuka kwa wanaume.
Mwanamke hadi achepuke ujue umemfika kooni kabisaaa!!( wengi wao)
Akichoka anaona taabu yote ya nini! Anaamua kujitafutia nae kafaraja kake, ili angalau asikuwaze sana. Hapo ndipo utafurahi na nafsi yako.
 
Mnapenda kutuona tukilia eeh?
.
.
Mtu una muombea kwa kujifungia war room mpk kwenye madroo tunajifungia kuwaombea miaka na miaka hambadiliki! Labda hatujui kuomba!
 
Yani nyie viumbe ni wanafki sana unafikiria sisi tumewekewa nyege ashki tufe nazo? Nyie ndiyo mnajua utamu kuliko sisi.. kwanza ni wachoyo na mnanyanyasa hisia zetu mnataka tufikie monopose hatujafaidi embu muwe mnabalance basi.. Oooh uvumilivu mbona nyie hamvumilii? Kama umeoa na unachepuka jua na mwenzio anachepuka
 
em tuanze na terms zinazotumika.

NIMEKANYAGA KISHENZI
amekanyagwa kinoma
Cha msingi ni kupata alichokuwa anataka, iwe wamekanyaga/gwa/gana hizo zinabaki kuwa terms tu.

Muachage ubinafsi, acheni na wenzenu wapate faraja mloshindwa kuwapa mkaenda kuitoa nje, haya sema sawa!!!
 
habari ya siku? uko salama? kunywa maji kdg afu twende sawa kdg.

Mi sijahalalisha chochote hapa.

Ila wenzenu tumeumbwa wadhaifu kdg kuliko nyie, nyie mmejaaliwa uvumilivu kdg... mtusitiri basi!!!., tujenge wala tusibomoe
 
Mi najiuliza huwa wanachepuka na kina nani hawa watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…