Yes kama Alberto Msando!Nakuchiaje watoto mkuu, nilipo wapo.
Kabla ujaanza dharau na visa vya kutosha ulitakiwa ufikirie yote hayo.
Mume bora ni yule anaekiri makosa yake na kuomba radhi.
Usipaniki jamani
Ndio maana hatujalalamika. Umeingilia huduma yetu tunayopewa na Mr. Kuchas ndio maana nikakukumbusha hiyo ya kwenu!Hapana aiseee.. Lakini si ni huduma tu kama huduma zingine.. hehehe
Ukinitreat ipasavyo tukapendana kisawasawa hicho kibamia chako nitakiona kama muhogo..
.
.
Nitalalamika unaniumiza!
Hadi na Mungu huwa wanamkumbuka.
mheshimiwa, hawa wanawake wanaotetea hawana lolote isipokuwa wanataka tu kujustify ufuska.KORBOTO Nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa lakini lazima tuukiri Ukweli kuwa Wake zetu sio malaika ni wanadamu. Tunapowakosea na kuwapuuza puuza kuwa hakuna wanachoweza Fanya ina madhara sana.
Wake zetu wanahitaji zaidi ya financial support ili kuwanya wafurahie mahusiano. Naamini asilimia kubwa ya Wanawake wanacheat huwa sisi Wanaume ndio tumechangia kwa sehemu kubwa wao kufanya hivyo.
Hizi story za "vibamia" sijui vidudu ni mbwembwe na hasira zao kwetu tu hawa wanakojozwa hata na kidole cha mwishwo kile kidogo. Ila tubadilike jamani... Ooooh otherwise tutagongewa sana tu. Mimi humu kunanisaidia sana kuwaelewa wanawake yaani kila siku nakuwa bora zaidi ya Jana kwa my wife wangu.
Ha ha haaaa ukimsindikiza Mr salon lazima unune. Kichwa kinatulia katikati ya nyonyo..jamaa kafumba macho anasikilizia. Balaa!Haha nyie ndo scrub huku nyonyo lote linakugusa gusa. Afu massage ndo wanawafanyia wakiwa half naked na kugusa gusa utamu wetu aiseeee
Hahahaaaa!! Nilikuwa sijasoma comments ujue!! Kumekuchaaa!!Aah bi mkubwa tulia kidogo bana. Teh naona wameamua wote kuishi shimoni
Unaweza hisi ndo tumefika KananiHadi na Mungu huwa wanamkumbuka.
Nyekundu haiwezi kuwa njano...we kama mwanamke unaeelewa nafasi yako katika familia....ukilipiza kuchepuka kwa kuchepuka...unaharibu zaidi kuliko ungevumumilia...hamna alternative nyingine hadi na wewe uchepuke na ujisifie...bt anyways nadhani type ya mwanamke naemuongelea mimi wamekuwa like endangered species..nyinyi wetu wa sasa ni jino kwa jino...Mwenzio sijasoma, na sipati picha ningesoma ingekuwaje. Mnanishangaza kwa hiyo siku hizi kuwa mwaminifu ni suala la jinsia? Kwa nini uovu tunauremba kiasi hicho? Mwanaume kuwa malaya unadhani haina impact kwa familia? Divorce mnazitaka wenyewe, kama mnataka kuzipunguza basi tulieni na wake zenu. Afu mjifunze kuown makosa yenu, why blaming women always afu kwa makosa yenu? Kazi kujivictimise tu eissh, kisichofaa kwa mwanamke na kwa mwanaume hakifai pia period. Ooh kuna unafuu blah blah
Na nyie nasikia mnaanzia kusafishana kucha huko salon akiona anasugua kucha vizuri mnapeana namba mwisho wa siku mnaishia kama hivi..Haha nyie ndo scrub huku nyonyo lote linakugusa gusa. Afu massage ndo wanawafanyia wakiwa half naked na kugusa gusa utamu wetu aiseeee
Niliona kabisa unaanza kubadili stepsHahahaaaa!! Nilikuwa sijasoma comments ujue!! Kumekuchaaa!!
Basi weye ongeza Balimi hapo mi ntapita kulipa... Si bei ni ile ile au zimeshapanda?Ndio maana hatujalalamika. Umeingilia huduma yetu tunayopewa na Mr. Kuchas ndio maana nikakukumbusha hiyo ya kwenu!
Bora wewe unayejitambua.hongera kwa mume wako kama unaye.Umetafuta mchepuko kupunguza maumivu lakini ukweli utabaki upo kwenye ndoa hata unavyosema ni kibamia umekiona leo wakati ulikuwa unakililia kibamia hayo ni maneno ya mkosaji........suluhisho sio kuchepuka ipo siku utamwina mchepuko wako naye ana kibamia utatafuta mwingine......kumbukeni madhara baada ya kuchepuka
Mbona mnakua wakali hivyo? Ndo mkubali msikubali ndivyo mambo yanavyoenda ukijitoa ufahamu ujue na mwenza wako akichoka atajitoa ufahamu tu.Nakushauri utoe kabisa na 0713 ili baadae uwe unavaa pempas pande zote, mara zote kulupa kisasi mwisho ni majuto
nashukuru kuwa ww upo positive kdg.Utakua ujaelewa Mkuu, binafsi sishadadii kilichofanywa na huyo dada na wala sipongezi ila nashangazwa na wanaume wanaomtolea huyo dada mapovu ikiwa akichepuka mwanaume mnafurahia.Mnatakiwa mkemee kwa jinsia zote kuwa uchepukaji si kitu kizuri.
Kwanza huyo dada mpaka kuchepuka aliesababisha ni mwanaume ila bado hilo ujaliona.
Yeye ameona hiyo ndiyo njia yake ya kumpunguzia machungu, Mkuu wanawake wa sasa si wa zamani mnatakiwa mjue ilo!!
Zamani mwanamke anateswa anavumilia ataenda wapi na watoto ikiwa hata kazi hana, ila siku hizi utamtesa nani akuvumilie ikiwa ana uwezo wa kuendesha maisha yake pasipo msaada wa mume.
Mume kwa mke wanatakiwa waheshimu ndoa, kama ukichepuka basi mkeo asijue na uwe na heshima. Ila sio mwanaume awe na dharau kama anazofanyiwa huyo then bado umlaumu huyo dada, acheni ubinafsi.