Ndio my. Tunavumilia haina shida!
Atajua mwenyewe namfungashia amfuate huko huko.mnafundishana ujinga hapa.Angekua ni mwanaume, ungemuona rijali kwa kuchepuka kisa mwanamke povu, kunywa maji Kaka
Huyo mke wa leo hii unaemfungashia viroba ni mkoma au????
Salon si kila mtu anaenda mkuu? Au wewe unanyoa wapi nywele na ndevu?Na nyie mnafataga nini kwenye saloon na spa?? Na wale wasugua kucha
OK.sawaRelax ndugu. Ikinishinda haitakuwa mwisho wa dunia! Marriage is not everything in this world.
.
.
Bila ndoa mtoto unapata na penzi unapata. Nini zaidi nitamiss?
.
.
Remember We Only Live Once!
Huduma tuNa nyie mnafataga nini kwenye saloon na spa?? Na wale wasugua kucha
Ila wewe ukichepuka ndo unaongeza utu wako na wa mkeo?Huu ndio usawa wanawake wa kizazi chetu wanaoutaka...mwanamme akichepuka na mwanamke anachepukiwa...bt tofauti hapa ni kuwa mwanamke anapoteza sana utu wake na heshima kuliko mwanaume...fikiria baba akachepuka na house girl na mama akachepukiwa na house boy...ipi jamii itachukulia vibaya zaidi..
hahahahahahaha demi hapo kwenye red nimecheka kwa sauti mpaka nikataka kumwaga bia yangu hapa..Salon si kila mtu anaenda mkuu? Au wewe unanyoa wapi nywele na ndevu?
.
.
Na wale wadada wa salon wanaowasafisha mpaka masikio mmetulia tu unadhani hatuoni?
.
.
bora sie tunaotengenezwa kucha hadharani. Nyie mnasafishwa masikio kwenye kichumba mmejifungia!
Kujishughulisha siyo tatizo.hamfikirii labda kuna watoto ? Hivi leo wewe mwanamke unaacha watoto wako wanateseka labda na mama wa kambo eti kwa sababu tu umenogewa na mchepuko. Wanawake hamna akili kabisa.Wanawake wa siku hizi wanajishughulisha, ukimfurumusha anajipangia zake maisha yanaendelea.
Ukiona mwanamke mpaka anafikia hatua hiyo jua kachokaaa!! Kila siku humu mnaleta mada za michepuko mnafurahia ila huyu mnamsema ndiyo muone ni kiasi gani inauma.
Mama ni mwamba wa familia...mhimili mkuu..ndio maana walisema behind every succesfull man there is a woman..sas na yeye anapoamua kuharibu inakuwa mbaya mara mbili...but sishangai maana mentality ya nyinyi wanawake mnaojiita wasomi wa siku hizi ni ukimwaga ugali yeye anamwaga mboga...no wonder divorce rate is at all times high...Ila wewe ukichepuka ndo unaongeza utu wako na wa mkeo?
Nakuchiaje watoto mkuu, nilipo wapo.Kujishughulisha siyo tatizo.hamfikirii labda kuna watoto ? Hivi leo wewe mwanamke unaacha watoto wako wanateseka labda na mama wa kambo eti kwa sababu tu umenogewa na mchepuko. Wanawake hamna akili kabisa.
Hapana aiseee.. Lakini si ni huduma tu kama huduma zingine.. hehehe
Mwenzio sijasoma, na sipati picha ningesoma ingekuwaje. Mnanishangaza kwa hiyo siku hizi kuwa mwaminifu ni suala la jinsia? Kwa nini uovu tunauremba kiasi hicho? Mwanaume kuwa malaya unadhani haina impact kwa familia? Divorce mnazitaka wenyewe, kama mnataka kuzipunguza basi tulieni na wake zenu. Afu mjifunze kuown makosa yenu, why blaming women always afu kwa makosa yenu? Kazi kujivictimise tu eissh, kisichofaa kwa mwanamke na kwa mwanaume hakifai pia period. Ooh kuna unafuu blah blahMama ni mwamba wa familia...mhimili mkuu..ndio maana walisema behind every succesfull man there is a woman..sas na yeye anapoamua kuharibu inakuwa mbaya mara mbili...but sishangai maana mentality ya nyinyi wanawake mnaojiita wasomi wa siku hizi ni ukimwaga ugali yeye anamwaga mboga...no wonder divorce rate is at all times high...
Hahahah... Afu mm sielewag kwann wanaume wanapenda kugeuzia wenzao makosa
Haha nyie ndo scrub huku nyonyo lote linakugusa gusa. Afu massage ndo wanawafanyia wakiwa half naked na kugusa gusa utamu wetu aiseeeeHuduma namna hii kwelii..
Nakushauri utoe kabisa na 0713 ili baadae uwe unavaa pempas pande zote, mara zote kulipa kisasi mwisho ni majutoToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.