Heaven Sent tuoneeni huruma.. Aseee hizi mambo zinauma ujue.
Evelyn Salt,demi,Heaven Sent,Nalendwa,miss chagga,ringson. Aseee sio kwa colabo Hiyopunguzeni basi.
GOOD WIFE INDEED.Hivi mtu unaanzaje kuchepuka kwa mwenza wako uliyeahidi mtaishi kwa shida na raha? Sijawah kufikiria kuchepuka nikija kuolewa hata mume wangu akichepuka nitamuombea na kumsemea kwa Mungu ambadilishe.Go for deliverance my sister msamehe na muombee kwa Mungu.Ukiona habadiliki fast and pray..kama akigomaaaaaaaaaaa then divorce (last option and not so gud)...Japo pray for him don't revenge, anaweza akacheat lakn he should be very careful usigundue na yeye ajitahd akupe haki yako ya ndoa sawasawa ili usijiskie vibaya.
Ni kweli mkuu ila msitufanye tucheatNakubaliana na wewe though not 100%. Wewe senior bachelor najua unajua kuwa zipo push factors nyingi tuu kwenu na kwetu zinazopelekea hayo kutokea. Kuchoka ni just sababu mojawapo ingawa zipo na nyingine nyingi.
Humu ndani leo faiyah!
Ukishalipia jua pia kuitunza. Usipoitunza utasaidiwa na wajanja!K cio yake weye, ishalipiwa iyo kama anabisha afanye mwenyewe akiwepo aone kama ni ya kwake
Kwa kweli.Suprises sio nzuri. Kumbuka unafunga pingu za maisha, hutakiwi kutamani mwanaume mwingine. Usipotest ukakutana na kibamia na wewe unapendelea mtarimbo imekula kwako.
.
.
Accept kibamia at your own risk!
Hamna kisima ni vidogoHaha haha.... Hebu msitulazimishe sasa na sisi tujibu mashambulizi, kimekuwa kidudu kwa kuwa yeye ana kisima
Two way=50/50.Ni kweli mkuu ila msitufanye tucheat
Kuitunza mhim, lakn cio utoke kuitembeza nje kwa wazushi ole wako nikuone unanilipa garama zanguUkishalipia jua pia kuitunza. Usipoitunza utasaidiwa na wajanja!
Tegemea nisitoke nje endapo tu na wewe hutoki. Mgonga hugongewa!Kuitunza mhim, lakn cio utoke kuitembeza nje kwa wazushi ole wako nikuone unanilipa garama zangu
Uctake kushindana na mwanaume, mbon me nafinyika nje huko kusaka mtonyo wee upog tu, unanisubir utaanzaje kujilinganisha na mwanaume, ata mngu mwenyewe anasema .Mwanaume ni msimamiz wa mwanamkeTegemea nisitoke nje endapo tu na wewe hutoki. Mgonga hugongewa!
Sisi tunawafichia siri afu wenyewe wanaenda kutudhalilisha huko nje khaaNdiyo mnavibamia tunawafichia siri hata kutiana hamjui mnatutia aibu huko nje muache
Kitaachaje kuwa kidogo wakati hadi tunakutana ushabinjuka na mikuni ya kila ainaHamna kisima ni vidogo
Happy women's day hahaWe have the floor today..lol!
Teh hatujaanza bado mbonaEvelyn Salt,demi,Heaven Sent,Nalendwa,miss chagga,ringson. Aseee sio kwa colabo Hiyopunguzeni basi.
Fisadi nakusalimiaNaona wazee wa MMU mmelikimbia jukwaa... Hiyo inaitwa mtendwa akitendwa... hehehehehe
Safi, hapo hata mkileteana magonjwa ngoma droo.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.