Kuchepuka raha


Kwanini muuane kwa magonjwa si uombe talaka tu
Be smart dada
 
Wewe mwanamke mnafiki tu huna lolote. Maana nashangaa baada ya kuanza kuchepuka unadai mumeo KIBAMIA ili kuhalalisha uzinifu wako. Yeye ni kibamia kwa sababu wewe una RAMBO. Uziznzi ni uzinzi uwe umezini na gobole au SMG.
 
Aah bi mkubwa tulia kidogo bana. Teh naona wameamua wote kuishi shimoni
 
Angekua ni mwanaume, ungemuona rijali kwa kuchepuka kisa mwanamke povu, kunywa maji Kaka
Huyo mke wa leo hii unaemfungashia viroba ni mkoma au????
Na kwa taarifa yao kama anachepuka ajue it's just a matter of time tu naye atachepuka au anachepuka
 
Nawaona tu wanawake walivyoweka kambi huku wakipeana pongezi za dhati.
 
Shetani yuko kazini kuharibu ndoa. Wewe na mme wako mnachofanya ni hasara kwa nafsi zenu na watoto wenu. Msipotubu maisha yenu ni mafupi sana na nani mtamwachia yatima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…