Kuchepuka ni asili yetu

Kuchepuka ni asili yetu

Sema kale ka ugonjwa kamekaa sehemu mbaya ila michepuko mitamu sn
 
af mkiulizwa mwanaume na mwanamke nani kazid umalaya wanaume mnakua wa kwanza kutusema af nikiangalia comment zenu kila mtu amechepuka na c mara moja. ayaaaaa ngoja na mim nitafute mchepuko.... any body there???????
 
Asalam Jamii,

Iko ivi unakuta mtu anahitaji kitu tena kwa viapo “ooooh jamani mimi nikimpata fulani apo ndio mwisho wangu yaani nitatulia yani brabra nyingi. Ila sasa akimpata wiki tu ataanza vijimaneno “oooh mtu mwenyewe yupo hivi mara kafanya vile, mara yupo ivi yaani ili mradi tu atafute pakutokea” Nilichogundua ni kwamba sisi binaadamu haturiziki hata iweje

Sisi wanaume hata tuwe namsichana mzuri kiasi gani lazima tutatamani kutoka nje tu na kina dada hata uwafanyie nini kazi bure tu ukiwa na kibamia tatizo ukiwa umejaliwa tatizo, ukiwa tajiri tatizo na ukiwa maskini ndio kabisa #ukitaka cha pekeako chuma mgomba uweke ndani #tuvumiliane tu na kuheshimiana ila kuchepuka hakuna tiba.

Sema wewe,sio sisi.usipende ku generalize mambo.wengine tumetulia kwenye ndoa zetu.
Halafu swala la kuchepuka ni siri kubwa ya muhusika haijalishi kuna mgogoro au hakuna ktk mahusiano ya wahusika wenyewe.
sasa wewe ni mmoja ya wale ambao thread zenu ni za kulipromote ili lionekane ni jambo la kawaida na kukubalika ktk jamii yetu,hii sio sahihi.
Na ni kwamba wewe umesha li ligalize hili jambo kwa mwenza wako na sasa unajaribu kushawishi wengine wakuunhe mkono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom