Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,209
- 99,959
Mbona hio iko wazi sana, Unampenda kwasababu ya mavazi au muonekano au pesa au perfume kama mmoja wa Dada zetu alivyosema juzi hapa jukwaani kuwa anawapenda sana Brothers za Benki........
Ukifika huko unakutana na vitu vya tofauti kabisa kabisa, ndio unaanza kujiuliza, hivi huyu nae ndio yule kweli au nimekosea?? Niliwahi kuwa na demu mkali sana wakati niko UDSM, ni mzuri kwa kila kitu ni Mnyiramba! Niko Fourth Year yeye yuko First Year, duh mwanangu alikua ananuka kikwapa ni balaaa, ila akiwa nje anavyotembea, na hio jinzi ilivyomkaa, lazima upigane umapte!!
Ni hatari sana tunapomtafuta mtu au kujmpenda mtu kwa ajili ya maumbo, muonekano au mavazi n.k na kuyaacha mambo mengine ya msingi.
Ni hilo tu kwa leo
Ukifika huko unakutana na vitu vya tofauti kabisa kabisa, ndio unaanza kujiuliza, hivi huyu nae ndio yule kweli au nimekosea?? Niliwahi kuwa na demu mkali sana wakati niko UDSM, ni mzuri kwa kila kitu ni Mnyiramba! Niko Fourth Year yeye yuko First Year, duh mwanangu alikua ananuka kikwapa ni balaaa, ila akiwa nje anavyotembea, na hio jinzi ilivyomkaa, lazima upigane umapte!!
Ni hatari sana tunapomtafuta mtu au kujmpenda mtu kwa ajili ya maumbo, muonekano au mavazi n.k na kuyaacha mambo mengine ya msingi.
Ni hilo tu kwa leo