Kuchepuka gharama sana

Kuchepuka gharama sana

Neno nalo lasema hivi
20190314_212750.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupoteza kilo 1 tu kwa siku ndio unajiuliza maswali yote hayo...!!!
 
Tunao chepuka na Majimama ,yanayogharamia kila kitu tunakoment wapi?
 
Sifa za kijinga hizi... Usikute unatumia kondom,... Una tofauti gani na kupiga nyeto kwa gharama zote hizo... Acha ufala dogo
Unaonekana unachepuka na vimada wa bei poa sana,wanakubali guest badala ya hotel?halafu 30,000/=,eti vinywaji 30,000/=,nacheka kama mzee mtekaji(boss) wa apocalypto alipomuokoa jaguar paw asichinjwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom