shelumwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 516
- 190
Wakuu nina tatizo moja hapa
Nilituma email kama siku mbili zilizo pita na email ilikua ya muhimu sana sasa leo ndo napokea taarifa kutoka gmail kuwa email imechelewa kufika kwa mtu husika na ilikua email muhimu sana na ilikua na deadlines je nini nifanye maana huu mchezo ni mara ta tatu sasa unatokea
Je tatizo ni email yangu au kuna kingine maana nilipotuma nikaangalia kwenye sent niliona imefanikiwa
Msaada wakuu nifanyaje ili email ifike sehemu husika
Nilituma email kama siku mbili zilizo pita na email ilikua ya muhimu sana sasa leo ndo napokea taarifa kutoka gmail kuwa email imechelewa kufika kwa mtu husika na ilikua email muhimu sana na ilikua na deadlines je nini nifanye maana huu mchezo ni mara ta tatu sasa unatokea
Je tatizo ni email yangu au kuna kingine maana nilipotuma nikaangalia kwenye sent niliona imefanikiwa
Msaada wakuu nifanyaje ili email ifike sehemu husika
