Kuchelewa kujifungua

stone boy

Senior Member
Dec 25, 2015
107
19
Katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu wadada wawili wakiwa wanazungumza mmoja akiwa mjamzito akisema eti Sikh zake za kujifungua zimepita eta wiki moja yupo kwenye mawazo kwelikweli
Nani nikajiiuliza hivi Ni kweli hili linawekaza? Au kachanganya tarh ? Mwenye utaalamu na hili anisaidie
 
Inawezekana, wengine wanapitiliza hata zaidi ya hiyo week.

Reality is wrong dreams are for real #
 
Katika pitapita zangu nimekutana na hiki kitu wadada wawili wakiwa wanazungumza mmoja akiwa mjamzito akisema eti Sikh zake za kujifungua zimepita eta wiki moja yupo kwenye mawazo kwelikweli
Nani nikajiiuliza hivi Ni kweli hili linawekaza? Au kachanganya tarh ? Mwenye utaalamu na hili anisaidie

hiyo inaitwa OverDue kwa lugha isiyo rasimi au Post-Maturity au Post-Datism!
UNakuta mimba inaenda zaidi ya week 42 wakati kwa kawaida 37-40 weeks.
mara nyingi inaweza kuwa tatizo la mtoto au mama maana wote wana play part katika kuanzisha uchungu.

Si kitu kizuri hivo ni vema aende hospitali akaanzishwe Uchungu maana zaidi ya week hizo placenta inakua ishaanza kuchoka na haitokua inampatia mtoto virutubisho chini ya kiwango.
 
hiyo inaitwa OverDue kwa lugha isiyo rasimi au Post-Maturity au Post-Datism!
UNakuta mimba inaenda zaidi ya week 42 wakati kwa kawaida 37-40 weeks.
mara nyingi inaweza kuwa tatizo la mtoto au mama maana wote wana play part katika kuanzisha uchungu.

Si kitu kizuri hivo ni vema aende hospitali akaanzishwe Uchungu maana zaidi ya week hizo placenta inakua ishaanza kuchoka na haitokua inampatia mtoto virutubisho chini ya kiwango.
Shukrni kwa jibu lako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom